Chadema 2030
JF-Expert Member
- May 5, 2025
- 1,905
- 3,717
Jana nilikuwa na msongo mkubwa wa mawazo hadi kufikia hatua ya kutaka kujiangamiza. Japokuwa wengi walidhani nilikuwa natania, ukweli ni kwamba nilikuwa serious.
Lakini asanteni sana, kwa kweli mlinifariji. Najua sasa ninaweza kushinda. Death is not a solution.
Lakini asanteni sana, kwa kweli mlinifariji. Najua sasa ninaweza kushinda. Death is not a solution.