I am thinking about cheating on him

I am thinking about cheating on him

Remember a bird in your hands is way better than hundreds of birds flying. Huyo ulienae ana thamani kuliko unavyoweza kufikiria.
 
Miss chagga, hii coment yako inanufikirisha sana juu ya tabia yako ya kimapenzi..

1. Huna time ya kusaka suluhu
2. Mwenzio katoa anayodhani anafanyiwa na mumewe, hajasema yeye mchango wake ni nini kwenye hali hiyo kutokea
3. Unadhani kila malalamiko ya mwanamke juu ya mumewe ni ya kweli bila kujali chochote
4. Unasahau kuwa anamcheat mumewe kwa sababu ya mabaya yake tu na kuupenda mchepuko kwa sababu ya mazyri anayoyajuwa

Suluhuu ya nini wakati mtu mzima kafanya akiwa na akili timamu na kafanya akiwa na malengo fulan i can not waste ma time kuongelea jambo ambalo mtu mzima kafanya maamuzi labda kama anauchizi .... ooh hell no when u think your trying its time for me to do... and what i will do sitajutia
 
I have goodm reasons:

1. He no longer pays attention to me
2. I am either second or third priority to his social life

Sawa, endelea kucheat, ukishacheat na huyo utakayempata atakufanya uwe fouth priority...na utaendelea kucheat..na utaendelea kuwa fifth....sixth...seventh priority...then unakuwa kituko kama SI Bwawa la viluilui....then what..?????
.
 
We men cheat all the time, you got a point and support you, women are precious beings they need care, love and above all attention...this weekend I want to cheat too, where are you LISAH?we have same thing in our mind now lets share it pls...I support you, you must cheat on him, so he learn a lesson about being attentive to precious beings
 
Last edited by a moderator:
dah... HoE, obviously one of the following
1. Mimba na kusingiziana watoto
2. Magonjwa ya zinaa
3. Kuvunjika ndoa

na huyo mchepukaji ajue kuwa, michepuko haitakagi majukumu... Yaani wanamchepusha kwa vile mwenye kubeba majukumuu makuu kama ya wazazi, watoto na ndugu wengine yupo.. Sasa siku njia kuu ikimmwaga, na mchepuko unafutika ghafra
ngoja nikitafutie mchepuko na mimi
 
We men cheat all the time, you got a point and support you, women are precious beings they need care, love and above all attention...this weekend I want to cheat too, where are you LISAH?we have same thing in our mind now lets share it pls...I support you, you must cheat on him, so he learn a lesson about being attentive to precious beings

hahahahah.....naona Unataka kutumia fursa effectively
 
Last edited by a moderator:
dnt cheat,muache!why?naamini hajakuoa...utamletea magonjwa,heshima yako itashuka!
 
Watoto wa siku hizi bwana!!!yaani akupe first priority halafu kila weekend unataka outing?????? mara hiki,hivyo vyote vinahitaji PESA.acha ujinga 1st Priority kwa mwanaume yeyote ni PESA mwanamke ni 2nd,

NAJUA wabishi watakuja sasa hivi kupinga na tusubiri.
 
What efforts have you done before coming to that conclusion?

If that is your final decision why keeping him? Why don't you just break up with him?

Is this how you will handle such situation with that new guy?

You are looking for justification of your decision from us!! Just to remind you,we are great thinkers

No more say!!
 
I have good reasons:

1. He no longer pays attention to me
2. I am either second or third priority to his social life

1. He no longer pays attention to u..did you had the courage to discuss about his changes? 2. I am either second or third priority to his social life...unajuaje? Pengine wewe ndiye umesababisha abadilishe muelekeo..labda mwanzo ulikuwa his no 1 priority kutokana ulikuwa unafanya mambo yanayomfurahsha sana mayb ukaja kuacha hayo mambo...au jarbu kukaa naye umuulize tatizo ni nini then tuletee mrejesho
 
yes, u deserve the name,, break up if u r not happy n start new relation don cheat, respect ur body idi..t

i resect my body but my feelings ave also to be respected!
 
khaa we vipi? Second priority?? Si ushukuru? Kazi/pesa ndo first,unataka mshinde wote ndani?

mandogo sijasema asiende kutafuta pesa, nasema social life mbele . Kila akifika ni yeye namitoko tu a kuirusa kutwa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom