LACK
Senior Member
- Aug 1, 2013
- 129
- 43
- Thread starter
- #21
We ni miongoni mwa watu ambao hawajaelimika hata kidogo! hauna lolote unaloweza kunishauri ni bora ungenyamaza tu! katika mada hii matusi yametoka wapi! nilichokuandikia ni kwamba niko tayari kwa interview yoyote wewe unacho jaribu kunilaumu na kunitukana ni kipi? watu wenye shule hawako hivi! elimu uliyonayo kama unayo haijakusaidia! try to be wise! ulikuwa unanifunza nini ili nijifunze! acha ujinga!mmmmmh..zipo sehemu nyingi za kujifunzia kuboresha kiingereza chako, nadhani hapa si sehemu sahihi. na ulivyo fedhuri na bedui unashupaza shingo eti huoni tatizo na hiyo lugha yako chafu eti kiingereza. mtu muungwana ni yule aliye tayari kujifunza.