CONSTRUCTIVE THOUGHT
JF-Expert Member
- Jul 10, 2015
- 1,158
- 416
Upo sawa ilitakiwa kuwa "does". Ahsante!!!!!!!jamani lugha ya watu hii
hapo kwenye mabano ? naomba kujifunza matumizi ya do/does kwa nature ya sentesi yako
asante
Upo sawa ilitakiwa kuwa "does". Ahsante!!!!!!!jamani lugha ya watu hii
hapo kwenye mabano ? naomba kujifunza matumizi ya do/does kwa nature ya sentesi yako
asante
wakuu, tukishamuimbaa mwalimu huyu wa Arts ,tumuandikie inavyopaswa kuandikwa sio tunamkosoa hatumwambii amekosea wapi
√√ hapa likipita zoezi la kuandika dictation kwa WALIMU wa secondary shule hizi zetuu ndo utajua wanafunzi wanafeli kwa kutokujua kiingeleza au WALIMU ndo hawajuii, tusi mkandamize mwalimu amejaribu sana tuuu
wakuu, tukishamuimbaa mwalimu huyu wa Arts ,tumuandikie inavyopaswa kuandikwa sio tunamkosoa hatumwambii amekosea wapi
√√ hapa likipita zoezi la kuandika dictation kwa WALIMU wa secondary shule hizi zetuu ndo utajua wanafunzi wanafeli kwa kutokujua kiingeleza au WALIMU ndo hawajuii, tusi mkandamize mwalimu amejaribu sana tuuu
Naomba nijuzwe ni makosa gani ya lugha aliyo yafanya mleta uzi! siyo kupinga tu kuwa kingereza kibovu bila ya kusema kosa lipo wapi?I hold a degree in Education. I specialize in English and History but i can also teach Civics very well. Please contact me on 0769306968. Currently am in Geita town
Kaka English yako mbovu sana, ni aibu kwa serikali, ni aibu kwako kuwa degree holder halafu hujui kingeereza, poor English grammar, soma novels, tzama movies, na tzama Mpira wa kiingereza u will improve progressively
Huwezi kukosoa bila kujua kosa.Wengi hawajui hata kosa lake mkuu, so hawawez kumsaidia zaidi ya kumponda maana ndio kipaji chetu waafrika.
Ameandika.mwenyewe kuwa ana-hold degree in English.umejuaje kama ni degree holder, anaweza kuwa Certificate au Diploma holder, au kama ni degree ni vile vyuo anavyosema vifungwe, Prof Ndalichako (Vyuo vya kata)
Asingezungumzia speciality bila kuwa na degree.umejuaje kama ni degree holder, anaweza kuwa Certificate au Diploma holder, au kama ni degree ni vile vyuo anavyosema vifungwe, Prof Ndalichako (Vyuo vya kata)