sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Khaaah! Ndo nini kuvunjiana ndowa???shemeji unadanganywa, stukaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.
Khaaah! Ndo nini kuvunjiana ndowa???shemeji unadanganywa, stukaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.
Sikonge
Husihuzunike wenyewe wa mwambao wanasema
"Shida roho, pesa makaratasi"
Kukutakia weekend njema nakusindikiza kwa
"natosheka na ndo ndo ndo, wewe wataka chururu
Kunionyesha vishindo, hunishindi nashukuru
Taratibu ndio mwendo, sitozifanya kukuru
Katie mbele ugoro, Mimi nimejaaliwa
Silazima sote tule asali hata sukari guru nayo tamu :]
Khaaah! Ndo nini kuvunjiana ndowa???
Hahahaaa sasa sijui hii ni ile tembe tuliipigia chapuo jana au yale mafutayasokuwa na bei maalum
Lol....Huyu swtld huyu!
Tena sukari guru inatengenezea hadi gongo....
ukiweka kwenye chai hihitaji hata majani wala mchaichai....
Mi mwenyewe nimeyasikia kwako! Unataka kumwachia nani msala...lol!hahahaha, mi simooo
'mamaa mkataa Sikonge kala hasara huyooo....'Tena nini!
Mtoto alomkataa Sikonge the Nyamwezi boy kala hasara mbona!
Yep, ila ni siku nyingi sasa. Nilikuja pata mwingine na maisha yanaendela MSWANO sana. Ugali wa Mhumba (wagogo wanasema aka Wa Pumba) kwa Mlenda, maisha ni kama sanduku la mwanafunzi la SUMATA, yaani sukuma maisha taratiibu.Sikonge, ulikataliwa na 'mtoto?'....
Sikonge
Husihuzunike wenyewe wa mwambao wanasema
"Shida roho, pesa makaratasi"
Kukutakia weekend njema nakusindikiza kwa
"natosheka na ndo ndo ndo, wewe wataka chururu
Kunionyesha vishindo, hunishindi nashukuru
Taratibu ndio mwendo, sitozifanya kukuru
Katie mbele ugoro, Mimi nimejaaliwa
Silazima sote tule asali hata sukari guru nayo tamu :]
'mamaa mkataa Sikonge kala hasara huyooo....'
Hahhaaaaa nishike tu nsije kurukia midundiko....lol!Bee hii imenichana mbavu!
Sasa karibu tutahamia kwenye sindimba na msondo. Lol
B umemwelewa AMINATA?... Afu mwambie husni 'anshangaza'Hahhaaaaa nishike tu nsije kurukia midundiko....lol!
Sikonge msalimie mgonjwa namtakia afya irejee uzuri haraka!
Bht, nimeongea na mgonjwa na afya yake inaendelea vizuri. Kwa sasa kapata nafuu na nimemwambia kuhusu hii makala JF basi kawasha Laptop na kuingia kuisoma. Ila sidhani kama atakuwa mchangiaji zaidi ya kusoma.
Hivyo, endeleeni tu kuandika maana yupo hapa JF anapitia tu mashairi na mistari yenu.
SUMATA ni lile sanduku la bati fomu wani wanaendaga nayo shule?