Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
Makubwaaaaaa!
madogo tuachane nayoooooooooooooooooo.
Makubwaaaaaa!
Mhhhh... Shemeji. Umenirudisha mbaaali sana. infact kama ilivyo kwenye maisha, wengi niliokuwa nimekaa nao (nikiwa mdogo sana, inasaidia tu kuwa ninakumbukumbu nzuri sana) kwa sasa wameshatangulia mbele ya haki.
Umenirudisha mitaa ya Ilala Flats, gorofa oposite na shule ya Boma Primary School......
Orait niamkie basi....
Wee bibi Husninyo hii sio mipasho bana...taarab hiikhaaaa, mwambie swtlady anirudishie ile dictionary yangu ya mipasho kwanza.
Nilimpa mamkwe wako akuletee, hajaifikisha?khaaaa, mwambie swtlady anirudishie ile dictionary yangu ya mipasho kwanza.
Inahuuuu?madogo tuachane nayoooooooooooooooooo.
Wee bibi Husninyo hii sio mipasho bana...taarab hii
Kunayo na rusha roho pia na mipasho...lol!
Mhhhh... Shemeji. Umenirudisha mbaaali sana. infact kama ilivyo kwenye maisha, wengi niliokuwa nimekaa nao (nikiwa mdogo sana, inasaidia tu kuwa ninakumbukumbu nzuri sana) kwa sasa wameshatangulia mbele ya haki.
Umenirudisha mitaa ya Ilala Flats, gorofa oposite na shule ya Boma Primary School......
Nilimpa mamkwe wako akuletee, hajaifikisha?
Mwalimu wangu Gee bibie!...we humuoni sl kaanza mipasho hapo, lol. ana kipaji hadi cha kuimba taarabu.
Sikonge anataka mistari Kama ile ya twanga pepeta "Papaaa Sikonge" kisha magitaa yanatumbuiza lol
Ooh! Umenitajia lahaziz moyo umepasuka paaah! Hivi hujanionea sehemu huyu mtu...toka asubuhi hajarud home ujue....nimemmiss balaamamkwe hajafikisha, nina wasiwasi ulimpa vin petrol.
Hiki kipaji kilivumbuliwa jana tu na mwlm...we humuoni sl kaanza mipasho hapo, lol. ana kipaji hadi cha kuimba taarabu.
Mwalimu wangu Gee bibie!...
Natisha kama chopa la chadema, husni mwambie akae mbali kabisa...nimeanza tuisheni jana tu roho inamdunda, nikimaliza mwezi lazima roho imtoke...Hiki kipaji kilivumbuliwa jana tu na mwlm...
Anatisha wallah!
Acha usungura mbona dikisheneri yako kairudisha jana
Hiki kipaji kilivumbuliwa jana tu na mwlm...
Anatisha wallah!
Acha (usungura) mbona dikisheneri yako kairudisha jana
Ooh! Umenitajia lahaziz moyo umepasuka paaah! Hivi hujanionea sehemu huyu mtu...toka asubuhi hajarud home ujue....nimemmiss balaa
Hahahaaa sasa sijui hii ni ile tembe tuliipigia chapuo jana au yale mafutayasokuwa na bei maalumshemeji unadanganywa, stukaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.