Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,674
Namie uniache wapi ?
Nanata na biti, haiy'aaa!
Vipi wewe!
mmmmh . . . MBADO!
Namie uniache wapi ?
Nanata na biti, haiy'aaa!
Vipi wewe!
Ukitaka hayo maruweruwe yatoke, yanatoka tena fastaaaa!!!!
Na hapo jee??
By C6 hahahhaha wakati ndio sasaumerudi kwa mikwara, sasa unataka urudiane na mke wa mtu au? nimemwambia alter ego wakoRuhazwe JR akipe salamu, mama watoto charminglady hebu njoo akuone tumbo lilivyo kubwa
Nimekukubali, sasa nikupongeze na nikupe lizawadi lipi liendanalo na muafaka wa muda huu ?
Nena chochote upewe!
Nigee vocha niongezee bando.
Kiswahili kweli bado shughuli ! Unaambiwa chagua zawadi , unachagua takrima!
Haya utanizungushia nambari kwa mlango wa Peter Mizengo.
Hivi kwani zawadi inatakiwa iwe nini hasa?
Na takrima ikoje?
Takrima hutolewa kwa style ya kifurushi .
Zawadi si lazima itolewe kupitia kifurushi.
Teh!
Pamenifurahisha sana hapo red.
Kumbe kuna kipindi hizo Ids zimewahi kutumika separately.
I mean . . . . Wakati ndio sasa aliexist tofauti na Ruhazwe JR!
Alafu saa hizi ndo zimeunganishwa? Au naona vibaya?
charminglady umenifumbuepo vimacho aisee!
Kama hujui kusoma hata picha huoni????!
Halafu we mbaaaaaaaya!
Dah jamaa alikuwa anatumia IDs mbili kwa watati huo.
Sasa hivi humu jamvini niamini mimi tu patna . . teh!
Zawadi itatoka next week sio weekend hiiKumbe ndo maana!! Miss chitchat charminglady ushapewa zawadi yako? Hilo neno alosema Nicas Mtei hapo juu liangalie kwa jicho la tatu utaona lina ukweli ndani yake. Afu ngoja nitarudi.
Zawadi itatoka next week sio weekend hii
Muulize Moderator coz yeye ndiye aliesema kwenye thread iliyo pigwa chini .....kuweni wa pole!!Kwani ww ndio Ruhazwe JR? This is serious issue more than CHITCHAT Tonykp!! Swala lenyewe najua hata hulijui ila unadandia train kwa mbele. . . .
Kumbe ndo maana!! Miss chitchat charminglady ushapewa zawadi yako? Hilo neno alosema Nicas Mtei hapo juu liangalie kwa jicho la tatu utaona lina ukweli ndani yake. Afu ngoja nitarudi.
acha kushangaa sana hivyo ndugu eti wewe upo tanzania au majuu [upcountry]