Ruhazwe JR
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 3,403
- 920
Wasalamu,
Nimekuja kutokea kifungoni,....nisingependa kueleza machungu ya huko kwani sitayaweza yamaliza,isipokua mwenye swali aniulize ntamjibu. charminglady kipenzi changu usinipenda hata kwa dawa,naomba unipokee walau hata kwa dk kadhaa kisha ndo uende kwa kile kitoto C6 ,ingawa bado umepotea kupenda house boy wangu kwa lengo la kunikomoa bado ntazidi kukupenda mpaka kufa.
nitoe shukurani kwa St. Paka Mweusi , Madabhali Jnr na wengine wote wenyenia ya dhati na kutamani siku moja kuniona niko charminglady .Cl Bado nakupenda,ntakupenda na sitaacha kukupenda.Nipokee charminglady BADO NAKUITAJI
Nimekuja kutokea kifungoni,....nisingependa kueleza machungu ya huko kwani sitayaweza yamaliza,isipokua mwenye swali aniulize ntamjibu. charminglady kipenzi changu usinipenda hata kwa dawa,naomba unipokee walau hata kwa dk kadhaa kisha ndo uende kwa kile kitoto C6 ,ingawa bado umepotea kupenda house boy wangu kwa lengo la kunikomoa bado ntazidi kukupenda mpaka kufa.
nitoe shukurani kwa St. Paka Mweusi , Madabhali Jnr na wengine wote wenyenia ya dhati na kutamani siku moja kuniona niko charminglady .Cl Bado nakupenda,ntakupenda na sitaacha kukupenda.Nipokee charminglady BADO NAKUITAJI
Last edited by a moderator: