I ain't your mama

Kwa hiyo hata Jennifa Lopez aliyeutungs na kuuimba wimbo huo alihitaji talaka?
Maana sielewi hivi mtu kuimba wimbo ni kosa?
Jlo alishapewa talaka long time. Kwa akili yako unafikiri ataisema ndoa au mahusiano vizuri?
 
Hahahahahaha haaaa mkuu inaelekea unakaroho kadogo kwl ww
Hapana mkuu roho yangu sawa na wengine tuu. Wanaume wanaolalamika wanatendwa utakuta source ilianzia huku. Mwanaume usipokua strong utabaki kulalamika kila siku ooo huyu mwanamke haniheshimu mara unatendwa na ujinga ujinga mwingi. Mwanaume aheshimie kwanza
 
Reactions: irk
Ww kila saa unamsifia mama kila kitu unasema kamzidi mpenzi wako lzm awe na gubu na ombea hukumuoa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…