Greysonizzle
Member
- Feb 25, 2013
- 11
- 3
Habari za kazi Wakuu..napenda kuwasilisha taarifa nzuri na zenye mwelekeo wa kukuza tekinologia mpya katika ujenzi kwa kutumia tofali na mashine za hydraform.nomba kuwajuza kwamba now days limefunguliwa tawi jipya la kuuza mashine za Hydraform kwa hapa Tanzania hivyo hakutakuwa tena na haja yakuzifuata mashine hizo South Africa bali kupitia kwa tawi lao ambalo lipo Mbezi beach old bagamoyo road karibu na Rainbow Club au tembelea www.hydraform.com au wwww.newtontrust.co.tz ambao ni wakala wa hydraform kwa hapa bongo.pia wanauza matofari ya hydraform yenye uimara na ubora wa hali ya juu fika ofisin kwao kwa ushauri na maoni juu ya ujenzi nafuu na wenye kiwango cha hali ya juu.
asanten sana wadau..
asanten sana wadau..