Inategemea na mtu, kuna watu huwa hawapendi kuwekewa vipimo (mshahara) katika mapato yao, kwa hiyo siyo rahisi kuajiriwa. Watu hawa hupenda kujishughulisha wenyewe bila kusimamiwa na huwa wanapata motisha kwa utendaji wao zidi kuliko masaa ya kazi. Vivyo hivyo kuna wale ambao huhitaji maelezo ya kipi cha kufanya, hawa hupenda kipato cha kuajiriwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.