Huyu x ana nini?

Huyu x ana nini?

Kanuni nyepesi ya mahusiano ni hii: ukiachana na mtu na umeshakubali kuwa hutaki kuendelea naye basi jiepushe naye moja kwa moja na uendelee na maisha yako. Zaidi ya hapo ni kurudi pale pale na hadithi zile zile.
 
Back
Top Bottom