The Donchop
JF-Expert Member
- Jan 10, 2014
- 294
- 381
Habari zenu wanajamii...?
Mimi kuna linalonisumbua sana na nina amini humu nitapata ushauri, naombeni sana sana mnishauri kistaarabu kwa wale mliozoea kuharibu na kutukana kwa muda huu mnivumilie mwenzenu nina shida.
Mimi ni mwanamke na umri wangu nipo above 25.
Miaka kama 3 iliyopita niliwahi kuwa na mpenzi ambaye tunakalibiana umri ingawa yeye ni mkubwa wangu.
Tulidate kwa muda mrefu sana na napenda kuwa mkweli kuwa nilimpenda kweli pamoja na madhaifu yake yote.
Sijui kwa upande wake ila tuliachana baada ya yeye kuanza kushika pesa na kuamua kuniacha kwa kunisingizia kuwa napenda wanaume na vitu vingi ambavyo si kweli. Kesi ambayo ilifika mpaka kwa wazazi wake coz nilikua nikijulikana kwao.
Baada ya maumivu na kulia sana nikaona nimove on na maisha yangu.
Siku sina hili wala lile, dada yake akanipigia simu kuwa ana shida nami nikamsaidia bila kinyongo. Usiku wa siku hiyo jamaa akapata taarifa toka kwa dada yake ndipo akaamua kuja kuniomba msamaha sana kwa yote aliyofanya but anataka urafiki nami tuendelee kusaidiana na bla bla bla.
Binafsi sikuona haja ya kuweka kinyongo sababu kama mtu hajakupenda huwez kulazimisha hivyo tukawa marafiki ambao hatukuwa karibu kama zamani ila yeye akaendelea kustay in touch nami mara kwa mara.
Hatua ya kuongea kila mara ikaleta kushirikiana kwa karibu sana. Akanijulisha kuwa ana girl wake nami nikamuonyesha a man ninae date nae. Tukawa marafiki wa aina hiyo. Kila kitu ananishirikisha.
Kugombana kwetu ni kawaida sana. Kila mara tunagombana kwa vitu vidogo vidogo. Mfano baada ya utambulisho mwenzangu alinikasirikia sielewi hata sababu.
But hivi karibuni nimeshangazwa na ugomvi mmoja ambao binafsi sielewi kabisa kwa nini unatokea. Akitu kimoja.
Katika story tunazoongeaga, uwa pia tunakumbuka vituko vya zamani na kukumbusha na kucheka. Ila leo nilimuuliza mwenzangu " Wakati tunadate kipindi kile, ivi ulikuwa unanidanganya au ulinipenda kweli?"
Nilipouliza swali hilo mwenzangu alipata hasira na kubadilika ghafla, binafsi sioni hata haja ya kukasirika. Nimeona ni kama swali la kawaida sana, naombeni ushauri kama kuna lolote ninalokosea au hilo swali sikupaswa kuuliza?
Mimi kuna linalonisumbua sana na nina amini humu nitapata ushauri, naombeni sana sana mnishauri kistaarabu kwa wale mliozoea kuharibu na kutukana kwa muda huu mnivumilie mwenzenu nina shida.
Mimi ni mwanamke na umri wangu nipo above 25.
Miaka kama 3 iliyopita niliwahi kuwa na mpenzi ambaye tunakalibiana umri ingawa yeye ni mkubwa wangu.
Tulidate kwa muda mrefu sana na napenda kuwa mkweli kuwa nilimpenda kweli pamoja na madhaifu yake yote.
Sijui kwa upande wake ila tuliachana baada ya yeye kuanza kushika pesa na kuamua kuniacha kwa kunisingizia kuwa napenda wanaume na vitu vingi ambavyo si kweli. Kesi ambayo ilifika mpaka kwa wazazi wake coz nilikua nikijulikana kwao.
Baada ya maumivu na kulia sana nikaona nimove on na maisha yangu.
Siku sina hili wala lile, dada yake akanipigia simu kuwa ana shida nami nikamsaidia bila kinyongo. Usiku wa siku hiyo jamaa akapata taarifa toka kwa dada yake ndipo akaamua kuja kuniomba msamaha sana kwa yote aliyofanya but anataka urafiki nami tuendelee kusaidiana na bla bla bla.
Binafsi sikuona haja ya kuweka kinyongo sababu kama mtu hajakupenda huwez kulazimisha hivyo tukawa marafiki ambao hatukuwa karibu kama zamani ila yeye akaendelea kustay in touch nami mara kwa mara.
Hatua ya kuongea kila mara ikaleta kushirikiana kwa karibu sana. Akanijulisha kuwa ana girl wake nami nikamuonyesha a man ninae date nae. Tukawa marafiki wa aina hiyo. Kila kitu ananishirikisha.
Kugombana kwetu ni kawaida sana. Kila mara tunagombana kwa vitu vidogo vidogo. Mfano baada ya utambulisho mwenzangu alinikasirikia sielewi hata sababu.
But hivi karibuni nimeshangazwa na ugomvi mmoja ambao binafsi sielewi kabisa kwa nini unatokea. Akitu kimoja.
Katika story tunazoongeaga, uwa pia tunakumbuka vituko vya zamani na kukumbusha na kucheka. Ila leo nilimuuliza mwenzangu " Wakati tunadate kipindi kile, ivi ulikuwa unanidanganya au ulinipenda kweli?"
Nilipouliza swali hilo mwenzangu alipata hasira na kubadilika ghafla, binafsi sioni hata haja ya kukasirika. Nimeona ni kama swali la kawaida sana, naombeni ushauri kama kuna lolote ninalokosea au hilo swali sikupaswa kuuliza?