Huyu x ana nini?

Huyu x ana nini?

The Donchop

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2014
Posts
294
Reaction score
381
Habari zenu wanajamii...?
Mimi kuna linalonisumbua sana na nina amini humu nitapata ushauri, naombeni sana sana mnishauri kistaarabu kwa wale mliozoea kuharibu na kutukana kwa muda huu mnivumilie mwenzenu nina shida.
Mimi ni mwanamke na umri wangu nipo above 25.
Miaka kama 3 iliyopita niliwahi kuwa na mpenzi ambaye tunakalibiana umri ingawa yeye ni mkubwa wangu.
Tulidate kwa muda mrefu sana na napenda kuwa mkweli kuwa nilimpenda kweli pamoja na madhaifu yake yote.
Sijui kwa upande wake ila tuliachana baada ya yeye kuanza kushika pesa na kuamua kuniacha kwa kunisingizia kuwa napenda wanaume na vitu vingi ambavyo si kweli. Kesi ambayo ilifika mpaka kwa wazazi wake coz nilikua nikijulikana kwao.
Baada ya maumivu na kulia sana nikaona nimove on na maisha yangu.
Siku sina hili wala lile, dada yake akanipigia simu kuwa ana shida nami nikamsaidia bila kinyongo. Usiku wa siku hiyo jamaa akapata taarifa toka kwa dada yake ndipo akaamua kuja kuniomba msamaha sana kwa yote aliyofanya but anataka urafiki nami tuendelee kusaidiana na bla bla bla.
Binafsi sikuona haja ya kuweka kinyongo sababu kama mtu hajakupenda huwez kulazimisha hivyo tukawa marafiki ambao hatukuwa karibu kama zamani ila yeye akaendelea kustay in touch nami mara kwa mara.
Hatua ya kuongea kila mara ikaleta kushirikiana kwa karibu sana. Akanijulisha kuwa ana girl wake nami nikamuonyesha a man ninae date nae. Tukawa marafiki wa aina hiyo. Kila kitu ananishirikisha.
Kugombana kwetu ni kawaida sana. Kila mara tunagombana kwa vitu vidogo vidogo. Mfano baada ya utambulisho mwenzangu alinikasirikia sielewi hata sababu.
But hivi karibuni nimeshangazwa na ugomvi mmoja ambao binafsi sielewi kabisa kwa nini unatokea. Akitu kimoja.
Katika story tunazoongeaga, uwa pia tunakumbuka vituko vya zamani na kukumbusha na kucheka. Ila leo nilimuuliza mwenzangu " Wakati tunadate kipindi kile, ivi ulikuwa unanidanganya au ulinipenda kweli?"
Nilipouliza swali hilo mwenzangu alipata hasira na kubadilika ghafla, binafsi sioni hata haja ya kukasirika. Nimeona ni kama swali la kawaida sana, naombeni ushauri kama kuna lolote ninalokosea au hilo swali sikupaswa kuuliza?
 
Ila kuna mambo ya ajabu sana ambayo hata shetani akiona inabidi ashangae

Kweli umedate naye muda wa kushiba unamfahamu fika

Leo unatuletea ambao hata tu kumuona hatujawahi ni ngumu kumesa

Tena mmeshaachana kila mmoja anawake shida ni nini
Kweli mwanamke huwa hajui hata akitakacho ni kipi
 
Kama mnatakana tena endeleeni na mahusiano yenu, kama amtakani basi bora kila mtu akae kivyake
 
Habari zenu wanajamii...?
Mimi kuna linalonisumbua sana na nina amini humu nitapata ushauri, naombeni sana sana mnishauri kistaarabu kwa wale mliozoea kuharibu na kutukana kwa muda huu mnivumilie mwenzenu nina shida.
Mimi ni mwanamke na umri wangu nipo above 25.
Miaka kama 3 iliyopita niliwahi kuwa na mpenzi ambaye tunakalibiana umri ingawa yeye ni mkubwa wangu.
Tulidate kwa muda mrefu sana na napenda kuwa mkweli kuwa nilimpenda kweli pamoja na madhaifu yake yote.
Sijui kwa upande wake ila tuliachana baada ya yeye kuanza kushika pesa na kuamua kuniacha kwa kunisingizia kuwa napenda wanaume na vitu vingi ambavyo si kweli. Kesi ambayo ilifika mpaka kwa wazazi wake coz nilikua nikijulikana kwao.
Baada ya maumivu na kulia sana nikaona nimove on na maisha yangu.
Siku sina hili wala lile, dada yake akanipigia simu kuwa ana shida nami nikamsaidia bila kinyongo. Usiku wa siku hiyo jamaa akapata taarifa toka kwa dada yake ndipo akaamua kuja kuniomba msamaha sana kwa yote aliyofanya but anataka urafiki nami tuendelee kusaidiana na bla bla bla.
Binafsi sikuona haja ya kuweka kinyongo sababu kama mtu hajakupenda huwez kulazimisha hivyo tukawa marafiki ambao hatukuwa karibu kama zamani ila yeye akaendelea kustay in touch nami mara kwa mara.
Hatua ya kuongea kila mara ikaleta kushirikiana kwa karibu sana. Akanijulisha kuwa ana girl wake nami nikamuonyesha a man ninae date nae. Tukawa marafiki wa aina hiyo. Kila kitu ananishirikisha.
Kugombana kwetu ni kawaida sana. Kila mara tunagombana kwa vitu vidogo vidogo. Mfano baada ya utambulisho mwenzangu alinikasirikia sielewi hata sababu.
But hivi karibuni nimeshangazwa na ugomvi mmoja ambao binafsi sielewi kabisa kwa nini unatokea. Akitu kimoja.
Katika story tunazoongeaga, uwa pia tunakumbuka vituko vya zamani na kukumbusha na kucheka. Ila leo nilimuuliza mwenzangu " Wakati tunadate kipindi kile, ivi ulikuwa unanidanganya au ulinipenda kweli?"
Nilipouliza swali hilo mwenzangu alipata hasira na kubadilika ghafla, binafsi sioni hata haja ya kukasirika. Nimeona ni kama swali la kawaida sana, naombeni ushauri kama kuna lolote ninalokosea au hilo swali sikupaswa kuuliza?
Kifupi tu ni kuwa bado unampenda jamaa na bado huja move on kama unavyodai. Binafsi sioni issue yoyote ya kukutatiza hapo.
 
Inaonekana alikuwa anakukamata haswaa! Endeleeni na urafiki mambo ya kuanza kutiana nyege tena yanatoka wapi?.
 
Wewe unaonekana huyo ulie nae sasa ni kwa ajali tu lkn bado jamaa unampenda.

Hilo swali ulilomwuliza ni wazi unadhihirisha bado una hisia nae na unatamani uwe nae.

Jamaa hakuelewi, kaa nae mbali, usahau yaliopita na uanze upya.
 
Acha kusumbua watu .... Sasa unataka nn ?? Ni x tayar..ilo niswali km yalivo maswali mengine.....weee unachotaka ninn??

Chief ivi wew una sayansi ya kuwaelewa hawa viumbe ama?

unifundishe maana mie hataaa siwaelewagi.

au wew umemuelewa huyu anataka nin kwa x wake hahaha.
 
Akisema ndio utafanya nini zaid ya kumuanikia 'ufa'.......
Mkiachana achaneni, makosa makubwa sana kurudia matapishi, atakuambia anajuta kuachana na wewe, alofanya makosa sana, na wewe sababu bado una hisia nae utapumbazika siku mtagegedana intensively,
Utadhania safari hii kabadilika sio yule wa mwanzo utaachana na jamaa wako wa sasa sababu yake.
Mwisho wa siku mnakuja kuachana kwa kishindo , utajilaumu na kujiona mjinga kwa sababu 'Ulikula parachichi hukulipenda baada ya muda ukalila tena ukifikiri limekuwa apple [emoji519]'
Tread carefully!!!
 
Kuna wakati mnafurahia kutupotezea muda kusoma thread za aina hii eh!!?
 
Back
Top Bottom