kwa haraka haraka tu hiyo ngoma ilikuwa ni lugalo na hapo naiona ile miti ambayo imepandwa na " wrong doers " haswa wanaopita pembeni, wabishi na wajeuri ila kuhusu hilo tukio ni dhahiri shairi kuwa hapo alikuwa anamonyeshea huyo / wewe uliyekuwa unampiga picha kwani yawezekana hakupenda kupigwa picha na kwa namna nyingine hata wewe / huyo aliyefanya kitendo hicho anatakiwa ajiangalie sana ili siku nyingine asije akakirudia tena kwani ktk medani za masuala ya kiusalama na hasa ihusuyo v.i.p motorcades ni kosa kubwa mno na linaweza likakugharimu. ila askari huyu kimaadili hakutakiwa kuonyesha hicho kidole kati cha kiitwacho " amis tambwe " kwa lugha ya mjini na ya sisi wanamichezo haswa wa soka la bongo.