Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,211
- 99,963
Huyu ni Askari wa Usalama Barabarani (sio lazima awe wa Tz) hapo amejificha anatafuta wavunja sheria. Nikajiuliza tu, nyoka akimgonga hapo itakuaje? Hizi sasa sifa!
Mawili: Anataka apandishwe cheo au LA anataka amalizie Nyumba yake au kodi ya Nyumba!!Hapo lazima ni TZ mikoani huko
Basi nibmatatu hayo sio mawiliMawili: Anataka apandishwe cheo au LA anataka amalizie Nyumba yake au kodi ya Nyumba!!
tufanye manne, ni ubinafsiBasi nibmatatu hayo sio mawili
Ndio maana walikua wakali sana baada ya JF kupiga kelele za kutaka Polisi nao waanze kutumia EFD machinesKatika watu wanaokula pesa kiulaini ni hawa jamaa
Anamuiga Afande Asharafu wa Bamaga/Sayansi hahahaha dogo kapunguza mapepe siku hiziDuh aisee..!
kwa taarifa yako tu wamejichangisha pesa wamenunua hizo camera...wenyewe ... pesa za kwao... ndo maana kuna kamera kila kichaka ukiwa safariniHuyu ni Askari wa Usalama Barabarani (sio lazima awe wa Tz) hapo amejificha anatafuta wavunja sheria. Nikajiuliza tu, nyoka akimgonga hapo itakuaje? Hizi sasa sifa! View attachment 425532
Huyu ni Askari wa Usalama Barabarani (sio lazima awe wa Tz) hapo amejificha anatafuta wavunja sheria. Nikajiuliza tu, nyoka akimgonga hapo itakuaje? Hizi sasa sifa! View attachment 425532
Mpwa wewe ni mchochezi hahahahahahaa kwahio hizi hazipo kwenye inventory ya Polisi hahahahhaaahahaa au ni za Luuuu-ngumi??kwa taarifa yako tu wamichangisha pesa wamenunua hizo camera...wenyewe... pesa za kwao
sichochei hebu fanya utafiti sikuhizi kama unaenda lets say moshi ni hatari sana kila pori wamejificha wengine wanavaa kama huyuMpwa wewe ni mchochezi hahahahahahaa kwahio hizi hazipo kwenye inventory ya Polisi hahahahhaaahahaa au ni za Luuuu-ngumi??