masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,621
- 14,577
Si hilo tu, ubinafsi unaongoza hasa nyakati hizi.Muungano huu siyo mbaya ila viongozi ndiyo tatizo. kinachoharibu ni maslahi binafsi
Watu wanateua watoto wao, mashemeji, marafiki.
Mwalimu aliiweka familia mbali na shughuli za serikali.
Usultani wa kuruthishana unajikita kwa sasa hivi.