Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 55,028
- 59,657
Mimi mbona nishafanya nyingi tu.Mimi nimeweza ila saint nawasiwasi nawe mkuu, U-turn huwa huziachi salama
Mimi mbona nishafanya nyingi tu.Mimi nimeweza ila saint nawasiwasi nawe mkuu, U-turn huwa huziachi salama
Mbona huna akili ya kufikiri, sasa ukianza kutembea na rafiki wa mpenzi wako wewe unafikiri rafiki yake atamuongelea vizuri??lazima amponde ili achukue nafasi kiulainiUkitaka kujua mambo/tabia mbaya za mpenzi wako basi tembea na rafiki/best yake. Atakwambia siri zote usizozijua kuhusu mpenzi wako na mambo kedekede.
ha ha ha serious, unadhani atakua na marafiki wa hivo afu ye awe malaika tehTusifanyiane hivyo evelyn
Ha ha ha ha mguu wako niliudownload, soon nauweka kwenye fremHaya We niseme tu,ntakuwa sikutumii mguu
Pale unapo changia mada ili uonekane mjanja kumbe bweeege tuUsimfananishe punda na vitu vya kijinga!
Haluna nje ya topic mtu aatuma mambo ya kijinga eti demu sijui amakuja ameniomba namba upuuzi mtupuUpo nje ya topic kijana,au umelala sebuleni...
![]()
![]()
![]()
Ni ghetto lako tu Arien
Ghetto langu linanukia tu ma-air fresh,
Kama ghetto la maise,