Huyu Shem simuelewi aisee...

Huyu Shem simuelewi aisee...

Acha ufwala hahahah sasa huyo si ndio angekua spare tyre..? Vijana wa sikuizi bwana, mwenye mali akikutegeshea mwambie kama ameshamsikiza nabii Tito akae kimya
mkuu ushauri wako nisawa na wa Nguvu za Giza
 
Shule zimefunguliwa Mkuu,kama ww ni dent piga msuli na kama ww ni mwalimu weka schemes of works,lesson plan,lesson notes,reaching materials like models,na mazaga mengine ili nitakapo kuja kukukagua usiwe na ndyalala nyingi za kujitetea!
 
"......ndio maana mi nawapaga tu mikasi,
hata kisa cha kugombana na Evance,
ni aliponikuta ghetto na mdogo wake Nancy"
Ghetto langu linanukia tu ma-air fresh,
Kama ghetto la maise,
 
Shule zimefunguliwa Mkuu,kama ww ni dent piga msuli na kama ww ni mwalimu weka schemes of works,lesson plan,lesson notes,reaching materials like models,na mazaga mengine ili nitakapo kuja kukukagua usiwe na ndyalala nyingi za kujitetea!
Reaching=teaching
 
Shule zimefunguliwa Mkuu,kama ww ni dent piga msuli na kama ww ni mwalimu weka schemes of works,lesson plan,lesson notes,reaching materials like models,na mazaga mengine ili nitakapo kuja kukukagua usiwe na ndyalala nyingi za kujitetea!
Aisee! Unadhani kila mtu mwanafunzi au mwalimu, wacha kukariri
 
Ulichokifanya ndio na mimi ningekifanya hicho hicho.
You did the right thing dude.
Bravo!
 
Hapo lazma na dem wako ni mtu wa kupigia u-turn mabwana wa rafiki zake.
 
Childhood is better than adulthood, Discuss
 
Back
Top Bottom