Huyu Sheikh aongezwe kwenye rodha ya Mashahidi wa Jamhuri dhidi ya Lissu. Alisikia kwa masikio yake juu kukinukisha ili uhaini ufanyike

Huyu Sheikh aongezwe kwenye rodha ya Mashahidi wa Jamhuri dhidi ya Lissu. Alisikia kwa masikio yake juu kukinukisha ili uhaini ufanyike

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
7,170
Reaction score
8,622
Pamoja na kutoa baraka kwa vyombo vya dola kuwapoteza Watanzania ili amani iendelee kuwepo. Sheikh huyu amedai kuwa yeye alisikia kwa masikio yake Lissu akisema tutakinukisha.

Amekazia kuwa Lissu alipelekwa Mahakamani ili akatoe tafsiri sahihi ya kukinukisha.

Kwa mantiki hii na muktadha huu huyu ni shahidi muhimu sana kwa Jamhur. Na kwa nini wanakaa na Lissu kwa zaidi ya miezi mitatu huku kumbe wana mashahidi na ushahidi uliokamilika?
 
Pamoja na kutoa baraka kwa vyombo vya dola kuwapoteza Watanzania ili amani iendelee kuwepo. Sheikh huyu amedai kuwa yeye alisikia kwa masikio yake Lissu akisema tut

akinukisha.

Amekazia kuwa Lissu alipelekwa Mahakamani ili akatoe tafsiri sahihi ya kukinukisha.

Kwa mantiki hii na muktadha huu huyu ni shahidi muhimu sana kwa Jamhur. Na kwa nini wanakaa na Lissu kwa zaidi ya miezi mitatu huku kumbe wana mashahidi na ushahidi uliolilika?
Usihangaike na Shehe. Ushahidi huu hapa:-
 
Pamoja na kutoa baraka kwa vyombo vya dola kuwapoteza Watanzania ili amani iendelee kuwepo. Sheikh huyu amedai kuwa yeye alisikia kwa masikio yake Lissu akisema tutakinukisha.

Amekazia kuwa Lissu alipelekwa Mahakamani ili akatoe tafsiri sahihi ya kukinukisha.

Kwa mantiki hii na muktadha huu huyu ni shahidi muhimu sana kwa Jamhur. Na kwa nini wanakaa na Lissu kwa zaidi ya miezi mitatu huku kumbe wana mashahidi na ushahidi uliolilika?
Ni kada wa chama cha.mambuzi
 
Pamoja na kutoa baraka kwa vyombo vya dola kuwapoteza Watanzania ili amani iendelee kuwepo. Sheikh huyu amedai kuwa yeye alisikia kwa masikio yake Lissu akisema tutakinukisha.

Amekazia kuwa Lissu alipelekwa Mahakamani ili akatoe tafsiri sahihi ya kukinukisha.

Kwa mantiki hii na muktadha huu huyu ni shahidi muhimu sana kwa Jamhur. Na kwa nini wanakaa na Lissu kwa zaidi ya miezi mitatu huku kumbe wana mashahidi na ushahidi uliolilika?
Naunga mkono hoja akwae shahidi. Hapo hapo naomba na wewe unayesema Lissu kaonewa hana kosa nawe ukawe shahidi. Yaani upande wa mashtaka awepo Sheikh aliyesikia kwa masikio yake na upande wa utetezi kuwepo wewe unayesema hana kosa.

Sawa?
 
Naunga mkono hoja akwae shahidi. Hapo hapo naomba na wewe unayesema Lissu kaonewa hana kosa nawe ukawe shahidi. Yaani upande wa mashtaka awepo Sheikh aliyesikia kwa masikio yake na upande wa utetezi kuwepo wewe unayesema hana kosa.

Sawa?

Acha kutumia makalio kufikiri
 
Pamoja na kutoa baraka kwa vyombo vya dola kuwapoteza Watanzania ili amani iendelee kuwepo. Sheikh huyu amedai kuwa yeye alisikia kwa masikio yake Lissu akisema tutakinukisha.

Amekazia kuwa Lissu alipelekwa Mahakamani ili akatoe tafsiri sahihi ya kukinukisha.

Kwa mantiki hii na muktadha huu huyu ni shahidi muhimu sana kwa Jamhur. Na kwa nini wanakaa na Lissu kwa zaidi ya miezi mitatu huku kumbe wana mashahidi na ushahidi uliolilika?
Kama Taifa bado tuna safari ndefu.

Hizi Dini ni Scam......
 
Back
Top Bottom