jambo wakuu,nimekua safarini kikazi sehemu mbalimbali ndani ya nchi naleo niko simiyu kunajengo zuuuri linajengwa karibu na stand mpya nilipo muuliza mwenyejiwangu ni lanani nikaambiwa ni la ridhiwani nikashangaa kila mkoa unapopita ukikuta jengo zuri, malori yamafuta, vituovya mafuta nk ukiuliza ni vyanani unaambiwa ni vya riziwani ,,,swali huyu riziwani ndio nani??