Huyu ni Tapeli pro max

Huyu ni Tapeli pro max

Fbn

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
14,138
Reaction score
33,532
Sijui kwa nini wana muamini huyu jamaa na media uchwara zikimpa umakini.

Una kwambia ana udongo wa upako sasa.
Screenshot_20251217-111351.png
 
There is every reason and every circumstance to declare that CCM is not a political party; CCM is a terrorist organization. From now on, the world must place it on the list of terrorist organizations.
Ccm is the ruling party of Tanzania government under Samia Suluhu hassan
 
Hiyo ni sawa wale wanawake wa kimboka kuwa wanafanya haramu Ila usichojua kuna asilimia zinaenda kwa wakubwa


So huyo yupo hapo Ila kina m hela inaenda sehemu husika , sio kwamba huo u on go Serikali haijui inajua vizuri.

Au ni sawa na zile buku Mbili huchukua traffic sio kuwa Serikali haijui .


So IPO hivyo

Hakuna illegal business ambayo inafanyika serikai haijui haipo na haijawaiga kuwepo

Ukiona MTU kakamatwa ujue maslahi hayakwenda sawa.
 
Unamwita tapeli alikuibia nini ? km hujawahi kuguswa na uwepo wa nguvu za ki ~ Ungu utakuwa unamuona kila mtu ni tapeli ! sisi tulifumbuliwa matatizo yetu kupitia madhabahu hiyo tunakuona popoyo mmoja ulizaliwa na wasugua Katerero...
 
Unamwita tapeli alikuibia nini ? km hujawahi kuguswa na uwepo wa nguvu za ki ~ Ungu utakuwa unamuona kila mtu ni tapeli ! sisi tulifumbuliwa matatizo yetu kupitia madhabahu hiyo tunakuona popoyo mmoja ulizaliwa na wasugua Katerero...
There is every reason and every circumstance to declare that CCM is not a political party; CCM is a terrorist organization. From now on, the world must place it on the list of terrorist organizations.
Ccm is the ruling party of Tanzania government under Samia Suluhu hassan
 
Unamwita tapeli alikuibia nini ? km hujawahi kuguswa na uwepo wa nguvu za ki ~ Ungu utakuwa unamuona kila mtu ni tapeli ! sisi tulifumbuliwa matatizo yetu kupitia madhabahu hiyo tunakuona popoyo mmoja ulizaliwa na wasugua Katerero...
Samahan naomba kujua ni matatizi gan amewafumbua?? Maana ivi vitu ni iman
 
Sijui kwa nini wana muamini huyu jamaa na media uchwara zikimpa umakini.

Una kwambia ana udongo wa upako sasa.View attachment 3516509
Anaishi maisha mazur sana huyu mtu kupitia akili zetu za kuambiwa
Hakuna miujiza yanayopatikana Kwa bianadam anayeishi Dunia hii watu wanajua kuchezana bongo zetu naanajua watanzania tunapenda miujiza badala ya kufanya kazi
 
Back
Top Bottom