The Knowledge Seeker
JF-Expert Member
- Apr 13, 2019
- 4,222
- 6,364
Huo mzigo naupataje nmpelekee Mheshimiwa pale gerezani asijisikie mpweke
😂 😂 😂Jf ina wavuta ganja wengi sana
Na wewe ni mmoja wetu? Well come to the worldJf ina wavuta ganja wengi sana
Lugha ya wajanja, wajinga hawaoni ndaniLugha gani hii umeandika?
Hiyo ni kinga mujarab ya CoronaAkija kufa, waje kusema Corona ndiyo umemuua...
Lugha ya wavuta bangi hii,Lugha ya wajanja, wajinga hawaoni ndani
Na hao ndiyo wajanja wenyewe,siyo kama nyie wanywa K -VantLugha ya wavuta bangi hii,
Sio mzima wewe, si bora K-Vant ntamshika tako muhudumu sasa wewe kashike tako la pusha uoneNa hao ndiyo wajanja wenyewe,siyo kama nyie wanywa K -Vant
Kwenye vikao vya bangi hakuna mambo ya kishenzi ya kutiana vidole. Wavutabangi ni moja ya jamii ya watu wastaarabu sana.Sio mzima wewe, si bora K-Vant ntamshika tako muhudumu sasa wewe kashike tako la pusha uone