king otaligamba
JF-Expert Member
- Oct 24, 2016
- 2,177
- 2,031
Inamaana katika madarasa yote uliyosoma hukuwahi kukutana na kitu kama hicho? Seriously?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaposema mabeberu unamaana huwa wanakumendea?Baada ya King Kong kunipa jina nimecheki Google.
Wanasema wanasaidia kuua wadudu wengine kama mende na kwamba wanapokuuma unaweza pata maumivu ila yanaisha ndani ya siku mbili.
Wanasema specie hii ya wadogo hawana sumu ya kukuua!
Wanadai ni vizuri kuwaacha, unajua tena mambo ya mabeberu. Kumbe Wajapan wanawafuga kama pets.
we jamaa wew...panic ya nini mkuu....ni ushauri tu kaomba mkuu...isiwe ugomviii....hahahaahahahahHuyo ni tandu. Anasumu kali sana.
Anapenda sana nyumba zenye uchafu.
Nyumba yako inaelekea ni chafu sana na kuna makorokoro mengi kama viatu vya zamani visivyo tumiwa nk.
Mwanamke gani wewe mchafu hivyo na huoni aibu ya kuanika uchafu wako.
Wanaume utaishia kukutana nao gesti na sahau ndoa kama huyajirekebisha.
Usiue ovyo Viumbe hai, tambua kuwa kila kiumbe ana haki ya kuishi. Endapo kiumbe kaingia kwenye himaya yako usimdhuru bali mtoe na kumweka kwenye mazingira wezeshi ya yeye kuishi, ama la muite AFISA MALIASILI WA HALMASHAURI ndizo kazi zao za Uhifadhi. Zingatia ushauri huu ili tusitokomeze baadhi ya Viumbe. Nowdays hata kumuona kobe imekuwa nadra, mijusi, vippepeo, nyigu nk hiii yote ni kutokana na Elimu duni ya Viumbe tuliyonayo hasa Kuwaua viumbe pasipo kuwa na matumizi nao. Utakuta Watoto wanaua panzi, mijusi, ndege nk with no reason. Wizara husika imelala fofoooooo.
Itakua hajasoma.....sababu biology utake usitake huyu kiumbe utamsoma tu form 2Inamaana katika madarasa yote uliyosoma hukuwahi kukutana na kitu kama hicho? Seriously?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unamfahamj swila au unamsikia? Swila akiingia ndani usiku hua anatafuta njia kwa kugonga gonga yaani kama ni jikoni basi utakuta kagonga masufuria hadi vikombeni tandu.... ana tabia kama za nyoka kwamba ukipishana naye na yeye anapishana na wewe..... anakula wadudu wadogowadgo na anapenda sehemu zenye joto...... hana sumu ya kuua lakini maumivu ni makali...... WAPO AINA NYINGI.... KUNA WAKUBWA AMBAO AKIKUOTEA UNAKUFA.
😀😀😀😀😀😀😀😀Hivi vipepeo waliishiaga wapi au na wenyewe tuliwauza sana nje kinyemela?
Ukitembelea nchi nyingine unaona ndege wazuri wanaishi kwa amani tu, wanapendezesha sana mazingira, sisi kunguru tu wamebaki angani wanakula mapapai yetu.
Hao wote hatukuwaua, tumewauza!
Mambo ya Wanaume wa Daaaaslam mkuuMuandika mada unatusanifu.
Huyo mdudu wa kitropiki anaanza kutambuliwa na mtu yeyote mara tu aanzapo kupata ufahamu!
Iweje 'baba zima' unaturejesha kwenye swali la umri wa watoto wanaotambaa?
Unaishi bara gani kwani?
Kama ni jumuiya ya East Africa basi utakuwa na lako jambo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wamesoma ulaya hawaInamaana katika madarasa yote uliyosoma hukuwahi kukutana na kitu kama hicho? Seriously?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe umesoma arts itakuwa halafu utakuwa sio mtzKila baada ya wiki kadhaa, nimekuwa nakumbana na mdudu huyu ndani ya nyumba. Uzuri mara zote nimekuwa namuwahi kumuua kabla hajanigusa.
Kuna mtu alikuwepo nymbani siku moja wakati anatokea akaniambia ana sumu kali.
Naomba nijue jina lake na mengine muhimu ninayotakiwa kujua.
View attachment 1048752
Vitu vichache nilivyoona kuhusu huyu mdudu:
- Ana kichwa kigumu sana. Unaweza kumpiga na kiatu hata mara nne bado akawa hai.
- Anatembea kwa kasi sana. Huyu wa kwenye picha ni kwamba nilikuwa tu kwenye alert ila alikuwa anakuja kwangu kwa kasi.
- Akiwa anatembea kwenye corridor, anatembea kwenye corner kabisa iwe ngumu kumpiga.
- Hauwezi kumkuta ametulia tu. Usipomuwahi anaweza kupotelea kwenye makochi huko.
Tandu gani ana sumu ya kuua ndugu yangu?Mkuu huyo ni tandu, anasumu kali sana ila wakiwa wadogo kiumbo wanatabia ya kuingia sikioni ukiwa umelala na kung'ata . (Hasa kwa watoto/w.wazima)
Unaweza changanyikiwa!
Btw kama wapo wengi chukua tahadhali maana sumu yake ni konk mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
#Weee ungemwambia tu huyo ni mdudu gani.. Hayo ya Uchafu achana nayo.... #Huyo ni tandu. Anasumu kali sana.
Anapenda sana nyumba zenye uchafu.
Nyumba yako inaelekea ni chafu sana na kuna makorokoro mengi kama viatu vya zamani visivyo tumiwa nk.
Mwanamke gani wewe mchafu hivyo na huoni aibu ya kuanika uchafu wako.
Wanaume utaishia kukutana nao gesti na sahau ndoa kama huyajirekebisha.
Ila huyo afisa maliasili umuite aje achukue mende, mjusi au huyo tandu nadhani na yeye atakuona ni zuzu.Usiue ovyo Viumbe hai, tambua kuwa kila kiumbe ana haki ya kuishi. Endapo kiumbe kaingia kwenye himaya yako usimdhuru bali mtoe na kumweka kwenye mazingira wezeshi ya yeye kuishi, ama la muite AFISA MALIASILI WA HALMASHAURI ndizo kazi zao za Uhifadhi. Zingatia ushauri huu ili tusitokomeze baadhi ya Viumbe. Nowdays hata kumuona kobe imekuwa nadra, mijusi, vippepeo, nyigu nk hiii yote ni kutokana na Elimu duni ya Viumbe tuliyonayo hasa Kuwaua viumbe pasipo kuwa na matumizi nao. Utakuta Watoto wanaua panzi, mijusi, ndege nk with no reason. Wizara husika imelala fofoooooo.