Huyu ni mdudu Tandu? ana madhara gani?

Huyo ni tandu. Kama umeshaoa basi nyumba yako ni chafu mwambia mkeo azidishe usafi. Na kama unaishi geto basi pangilia vizuri vitu vyake. Nyumba ikiwa safi uyo mdudu huwezi kumkuta

Nitakujibu wewe kuhusu suala hili la uchafu kwa sababu kidogo umeongea kwa staha, lakini ujumbe huu uwafikie wote waliokuwa wanadai nyumba yangu ni chafu!

Ni hivi, nyumba ni safi tena sana tu, unaweza hata kulia chakula sakafuni!

Kwa maelezo niliyosoma kuhusu huyu mdudu ni kwamba kwanza hata hawafuati vyakula kama mende, na kama ni hivyo wasingevikuta kwangu!

Ni kwamba mara nyingi hamna mtu nyumbani. Kinachoweza kuwa kinawaleta inawezekana ni giza, mara nyingi nyumba inakuwa kwenye giza. Ushauri wa jamaa mmoja kuhusu kufungua madirisha na mapazia nadhani kwa case yangu ndiyo inaweza kuwa suluhisho. Ila kwenye usafi, niko vizuri!
 
...mkuu bongo kunguru wameanza kula mapapai ???kwa kweli siku aliyoihofia Albert Einstein Inakaribia.

Sent using Jamii Forums mobile app

Eeh bwana! Wanakula hadi wanasaza. Naweza nisiwepo siku mbili tatu, nikirudi nakuta mabaki tu. Na makelele yao asubuhi asubuhi, ni shida tupu.

Nafikiria kuanza kampeni ya kurudisha ndege wazuri wazuri wenye rangi rangi na vipepeo. Sijui kama nitapata ushirikiano au Konki atanijumuisha kwenye list yake ile. Kwa sababu mawazo mengine haya ukiyatoa watu wanaanza kukuangalia kivingine.

Pia nina wazo la bustani nadhani nikitulia nitakuja kulifungulia uzi.
 
Muandika mada unatusanifu.

Huyo mdudu wa kitropiki anaanza kutambuliwa na mtu yeyote mara tu aanzapo kupata ufahamu!

Iweje 'baba zima' unaturejesha kwenye swali la umri wa watoto wanaotambaa?

Unaishi bara gani kwani?
Kama ni jumuiya ya East Africa basi utakuwa na lako jambo.

Sent using Jamii Forums mobile app

Wangapi bado mnakumbuka kila mlichojifunza primary huko sijui F1? Nimekuja kuomba ufahamu na nimeupata. Ni hivyo tu.
 
Baada ya King Kong kunipa jina nimecheki Google.

Wanasema wanasaidia kuua wadudu wengine kama mende na kwamba wanapokuuma unaweza pata maumivu ila yanaisha ndani ya siku mbili.

Wanasema specie hii ya wadogo hawana sumu ya kukuua!

Wanadai ni vizuri kuwaacha, unajua tena mambo ya mabeberu. Kumbe Wajapan wanawafuga kama pets.


Yaan nilikua serious kweli nasoma..dah nimekuja kukimbana na hii comment yako.jaman nimecheka balaaa..hahahjaah...jaman mabeberu wanajipa flag balaa..hhajajajaa ...neno mabeberu mie kila nkiliona namuona Magu..naishia kucheka sana
 
Eeh bwana! Wanakula hadi wanasaza. Naweza nisiwepo siku mbili tatu, nikirudi nakuta mabaki tu. Na makelele yao asubuhi asubuhi, ni shida tupu.

Nafikiria kuanza kampeni ya kurudisha ndege wazuri wazuri wenye rangi rangi na vipepeo. Sijui kama nitapata ushirikiano au Konki atanijumuisha kwenye list yake ile. Kwa sababu mawazo mengine haya ukiyatoa watu wanaanza kukuangalia kivingine.

Pia nina wazo la bustani nadhani nikitulia nitakuja kulifungulia uzi.


😂😂😂😂😂☺ ww ni comedian kumbe ..lol
 
Tandu (Centipede) kutoka phylum Athropoda

Sent using Jamii Forums mobile app
Phylum ni Anthropoda class myriapoda wako class moja na jongoo.Anaitwa centipede maana yake Centi=kumi na pede=miguu yaani ana miguu kumi jongoo.Anaitwa millipede maana yake Milli=elfu moja pede=miguu jongoo ana miguu elfu.
Tandu hana madhara usichanganyikiwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila baada ya wiki kadhaa, nimekuwa nakumbana na mdudu huyu ndani ya nyumba. Uzuri mara zote nimekuwa namuwahi kumuua kabla hajanigusa.

Kuna mtu alikuwepo nymbani siku moja wakati anatokea akaniambia ana sumu kali.

Naomba nijue jina lake na mengine muhimu ninayotakiwa kujua.

View attachment 1048752
Vitu vichache nilivyoona kuhusu huyu mdudu:
  1. Ana kichwa kigumu sana. Unaweza kumpiga na kiatu hata mara nne bado akawa hai.
  2. Anatembea kwa kasi sana. Huyu wa kwenye picha ni kwamba nilikuwa tu kwenye alert ila alikuwa anakuja kwangu kwa kasi.
  3. Akiwa anatembea kwenye corridor, anatembea kwenye corner kabisa iwe ngumu kumpiga.
  4. Hauwezi kumkuta ametulia tu. Usipomuwahi anaweza kupotelea kwenye makochi huko.
Mliozaliwa Kariakoo hamjui hata tandu siku hizi.
 
Anaitwa Tandu, aliwahi kunitembelea mwilini sitasahau kama dakika 15 hivi (true story) nilikuwa sijui baadae nilikuja kushtuka nilivua nguo zote bila kujitikisa mwili mzima natetemeka jasho linanitoka sitasahau.

Mungu mkubwa namshukuru kwa baraka zake yule tandu hakunidhuru, na mimi sitamsahau, siku zile kila kinachonigusa nilikuwa nashtuka shtuka. Mwanzoni nilihisi kuna mdudu ananitembelea lakini nikapuuzia, sasa alipofika kwenye mashine(uume) nilishtuka nikasema kuna nini nikafungua kifungo cha jeans kuchungulia "Mungu wangu"

Mpaka leo sipendi hata kumtaja jina wala kumuongelea kwa sababu nasikia wadudu kama hawa hawatajwi (unaweza kumuona mazingira yako).

Mungu mkubwa "Alhamdulillah"

Sent using Jamii Forums mobile app


Sijawah sikia au kuona mwanaume mwoga kma ww aisee...mie mwanaume mwoga hata ujirani naYe SITAKI
 
Huyo ni tandu. Anasumu kali sana.
Anapenda sana nyumba zenye uchafu.
Nyumba yako inaelekea ni chafu sana na kuna makorokoro mengi kama viatu vya zamani visivyo tumiwa nk.
Mwanamke gani wewe mchafu hivyo na huoni aibu ya kuanika uchafu wako.
Wanaume utaishia kukutana nao gesti na sahau ndoa kama huyajirekebisha.


😂😂😂😂😂🙄🙄 kumbe mtoa mada ni she..aiseee
 
Nkushauri fuga paka hapo nyumbani kwako. Paka ni kiumbe ambaye watu wanamchukulia poa sana ila anauwezo wa kupambana na kuua wadudu hatari kwa binadamu kuliko unavyofikiria, paka anauwezo wa kupambana na huyo centipede, anauwezo wa kupambana na nyoka, mijusi, nge, panya, na chochote kile ambacho ni strange na hatari kwa binadamu ambacho kipo ndani ya uwezo wake basi atahakikisha nyumba yako inakua safe 99%. Vuta picha upo mbali na maeneo ya home alafu centipede wakazaliana humo ndani kwa siri unadhani patalalika kweli? Asante Mungu kwa kutuumbia paka.

what-does-it-mean-when-cat-wags-tail.jpg
Paka hawa hawa wa dar wala tambi atamweza tandu? Paka anamkimbia ngedere kama anamkimbia chui

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ovyo, akiyekuambia mwanamke akiwa msafi ndio ticket ya kuolewa ni nani? Wanawake wangapi wasafi wanazunguka tu jua lao, mvua yao hawaolewi.
Mtu akiamua kukutukana hakuchagulii tusi, wangapi wachafu wameolewa usafi wao wanasaidiwa na beki 3 na waume zao wapo nao hakuna cha taraka wala nini wanadunda tu na uchafu wao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila baada ya wiki kadhaa, nimekuwa nakumbana na mdudu huyu ndani ya nyumba. Uzuri mara zote nimekuwa namuwahi kumuua kabla hajanigusa.

Kuna mtu alikuwepo nymbani siku moja wakati anatokea akaniambia ana sumu kali.

Naomba nijue jina lake na mengine muhimu ninayotakiwa kujua.

View attachment 1048752
Vitu vichache nilivyoona kuhusu huyu mdudu:
  1. Ana kichwa kigumu sana. Unaweza kumpiga na kiatu hata mara nne bado akawa hai.
  2. Anatembea kwa kasi sana. Huyu wa kwenye picha ni kwamba nilikuwa tu kwenye alert ila alikuwa anakuja kwangu kwa kasi.
  3. Akiwa anatembea kwenye corridor, anatembea kwenye corner kabisa iwe ngumu kumpiga.
  4. Hauwezi kumkuta ametulia tu. Usipomuwahi anaweza kupotelea kwenye makochi huko.
Mimi ninawajua hawa wadudu kiasi chake kutokana na mahali nilipokulia.... Tabora Manispaa..

1. Tandu hafuati uchafu kabisa kama wengi mnavyosema maana tandu anakula wadudu wengine wadogo zaidi yake na sio mabaki ya chakula. Tandu anapenda mahali penye joto na unyevu kwa mbali ndo maana akiingia kwenye nyumba anapenda kujificha mahali paliko rough, kama nguo zilizo tupwa tupwa, au kujificha kwenye viatu hivi e.t.c. tofautisha kuwa mchafu na kuwa rough

2. Tandu hapendi mwanga kabisa ndo maana ukimuona mchana au kwenye mwanga muda wote utamuona yuko kwenye speed anatafta mahali ajifiche.

3. Tandu akiwa mdogo anakuwa na sumu ya kawaida tu ambayo inaleta maumivu au anaweza asiwe na sumu kabisa pia hawezi kuua, na mara nyingi akiwa mdogo anakuwa na rangi ya khaki au brown. Ila jinsi anavyozidi kuwa mkubwa ndo sumu inakuwa kali, ukikutana na tandu mweusi na ana atenna zenye njano hv, au hata akiwa tu hivyo hivyo mweusi bila hizo antenna huyo ana uwezo wa kuua kwa sumu yake. Mtoto wa jirani aliwahi kufa sababu ya kuumwa na tandu mweusi mkubwa!

4. Tandu hapendi hali ya hewa nzuri au upepo wa baridi, kama unahisi chumbani au sebuleni kuna tandu, fungua mapazia vizuri au toa kabisa mapazia acha hewa iingie, kama inawezekana washa kabisa na feni then kaa mahali kwa nusu saa utamuona mwenyewe anapita pita kwa speed akitafuta pa kujificha(hapo uwe umepanga na vitu vyako vizuri kuondoa msongamano wa nguo au vitu visivyo kwenye mpangilio). Au unaweza kupulizia sumu ya wadudu kidogo then fungua madirisha na mlango ili hewa safi iingie atatoka mwenyewe, ingawa wengi wanasema kuwa sumu ya wadudu haiui tandu bali inamfanya anadhoofu tu then anaendelea kujibana hapo hapo alipo so njia nzuri ni kuweka hewa safi ndani ya nyumba atatoka

Hivyo ndo ninavyomjua tandu kwa experience yangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom