Huyu Ni Baba Wa Aina Gani....????

Anasali hapo, dini yetu ya rastafari inabariki na kutukuza matumizi ya weed.

Hiyo ni sakramenti maalumu kwetu na haitakiwi kuvutwa hovyohovyo tu
 
canabis sativa...da wisdom weed gwata man...
 
Mimi nadhani yuko sawa...kwa sababu mzazi umpa mtoto kile anachoamini ni kizuri.... Tafsiri yangu huyu rasta anaamini bangi au sigara ni nzuri...anamshirikisha mtoto kizuri anachokipenda. Tumsaidie baba ajue madhala ya hicho anachopenda ndo tuanze kumlaumu iwapo atakuwa amekubali kuwa sigara/bangi si nzuri
 
Huyo sio baba nahisi ni jirani tu au mpita njia....baba wa ukweli hawezi fanya huo ujinga...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…