Huyu nesi kaniacha hoi

Huyu nesi kaniacha hoi

Kababi

Senior Member
Joined
Dec 24, 2010
Posts
168
Reaction score
38
Nimekuwa kwenye urafiki na nesi flani kwa muda mrefu,nikiwa na kawaida ya kumtembela nyumbani kwake tunapiga story,mwisho ikataokea uhusiano flani hivi usio rasmi.

Nikawa napata chakula nyumbani kwake time ya kuondoka napiga lita kama kawaida ila anakataa kunipa ile kitu inameza mwenzio.

Juzi tu nikaenda kwa kujitoa akili kabisa nimepiga kiroba jogoo yangu nae hakuonyesha kubana akanipa ushirikiano mpaka tukabaki kama Mungu alivyotujalia kutuumba,nia yangu nilitaka nipige ndizi nyama mara nikasikia ohh subiri kidogo nikauliza nn shida?n

Naomba tutest,nikauliza nn tutest?akajibu HIV na vipimo ninavyo,nikamwambia hamna shida,wakati anainuka kwenda kabatini kuchukua kipimo nikaanza kuvuta matukio yote niliyopiga ya hatari akili ikanituma hiyo kitu siwezi alivyorudi kitandani akajitoboa mwenyewe na kuweka damu kwenye kipimo baadae akaniomba mkono nikamjibu naomba nipe hicho kipimo nikapime nyumbani kwangu majibu yakiwa mazuri nitarudi,nikavaa nguo zangu na kuondoka mpaka sasa hivi sijapima na wala sijamtafuta hewani,majibu yake yeye yalikuwa poa.

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
 
sasa unangoja nini kupima pima upate nafasi ya kupiga isue we vip?
Nikimpata manzi wa hivyo itakuwa poa sana
Kuna siku ilinitokeaga msala kama huo kidogo nidumbukie kwenye shimo la majanga kumbe demu alikuwa na ngoma mbona nilijuta
Tokea hapo huwa napenda kutongoza kwa gia ya kupima bila ya hivyo no sex
 
sasa unangoja nini kupima pima upate nafasi ya kupiga isue we vip?
Nikimpata manzi wa hivyo itakuwa poa sana
Kuna siku ilinitokeaga msala kama huo kidogo nidumbukie kwenye shimo la majanga kumbe demu alikuwa na ngoma mbona nilijuta
Tokea hapo huwa napenda kutongoza kwa gia ya kupima bila ya hivyo no sex

'Bado nafikiria nikikuta hali mbaya nitafanyaje si bora niendelee kuishi bila kujua status yangu.


Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
 
dah..! kwa hiyo hadi kubaki watupu si lazima kuna romance mlifaya kabla eg. d**da..? anyway kiroba si kilikata fasta!
 
...huyu anakujali mkuu...wewe pima jiamini tu...kila la kheri inshaallah!
 
Hahaaa umekosa nyuchi ya nesi tanzania bila mbmbukizi mapya inawezekana
 
Nimekuwa kwenye urafiki na nesi flani kwa muda mrefu,nikiwa na kawaida ya kumtembela nyumbani kwake tunapiga story,mwisho ikataokea uhusiano flani hivi usio rasmi.

Nikawa napata chakula nyumbani kwake time ya kuondoka napiga lita kama kawaida ila anakataa kunipa ile kitu inameza mwenzio.

Juzi tu nikaenda kwa kujitoa akili kabisa nimepiga kiroba jogoo yangu nae hakuonyesha kubana akanipa ushirikiano mpaka tukabaki kama Mungu alivyotujalia kutuumba,nia yangu nilitaka nipige ndizi nyama mara nikasikia ohh subiri kidogo nikauliza nn shida?n

Naomba tutest,nikauliza nn tutest?akajibu HIV na vipimo ninavyo,nikamwambia hamna shida,wakati anainuka kwenda kabatini kuchukua kipimo nikaanza kuvuta matukio yote niliyopiga ya hatari akili ikanituma hiyo kitu siwezi alivyorudi kitandani akajitoboa mwenyewe na kuweka damu kwenye kipimo baadae akaniomba mkono nikamjibu naomba nipe hicho kipimo nikapime nyumbani kwangu majibu yakiwa mazuri nitarudi,nikavaa nguo zangu na kuondoka mpaka sasa hivi sijapima na wala sijamtafuta hewani,majibu yake yeye yalikuwa poa.

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums

ha,ha,ha,ha,ha,ha,ha,ha umerara mbele!,duu kwel kupima si mchezo!
 
kwahiyo yangetoka safi mngedinyana wakati mnatakiwa kurudia tena vipimo baada ya muda ili kujihakiki! nurse hakulifikiria hilo.
 
saaaafi nesi.tungekuwa na kidada wenye msimamo kama huyo duh ukimwi ungepugu aje?? nesi nakupa Big-up.na mkwale nenda kapime kwanza kabla ujamzukia kwanza nes
 
dah..! kwa hiyo hadi kubaki watupu si lazima kuna romance mlifaya kabla eg. d**da..? anyway kiroba si kilikata fasta!

Romance tulifanya sana tu,nilivyomuuliza hiyo vp akaniambia ni asilimia kidogo kupata kwa njia ya romance.

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom