Huyu ndo ndege John

hahhahaa Ndio umekuja Leo Uzi unafunga mwezi now,Sasa huyo aliepost alijuaje umefanana nae au anakujua?
Hata sijui asee ila kiukweli sio Mimi huyo anaonekana Yuko above 33...Mimi ndo kwanza 27 nataka kufanana na goodluck gozbert...na ndevu km baruhan muhuza...
 
Jamaa sijui hata kwanini kafanya hivyo na Sina hata beef naye btw kinachonishangaza aliempost kwa mbali kdg nataka kufanana naye that means mtoa mada ananijua Basha wake ninayemrombaga.
Kwa hiyo mmeingiliana kwenye mademu zenu au
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom