princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 7,553
- 14,381
nmecheka hizi comment
Mbona namfahamu huyu ni m bangladesh
Asante kwa comment hii mama kubwaHajajiumba.
Andika story za Juma lokole humu ndani uone zitafutwa ndani ya sekundeMods Wana upendeleo mpaka page ya pili wanauangalia Uzi. Ingekuwa umegusa kusikoguswa!
hahhahaa Ndio umekuja Leo Uzi unafunga mwezi now,Sasa huyo aliepost alijuaje umefanana nae au anakujua?Ila huyo mwamba kwa mbali nataka kufanana naye ndevu ila ana mikwaruzo ambayo Mimi Sina
Hata sijui asee ila kiukweli sio Mimi huyo anaonekana Yuko above 33...Mimi ndo kwanza 27 nataka kufanana na goodluck gozbert...na ndevu km baruhan muhuza...hahhahaa Ndio umekuja Leo Uzi unafunga mwezi now,Sasa huyo aliepost alijuaje umefanana nae au anakujua?
Jamaa sijui hata kwanini kafanya hivyo na Sina hata beef naye btw kinachonishangaza aliempost kwa mbali kdg nataka kufanana naye that means mtoa mada ananijua Basha wake ninayemrombaga.Amekuruhusu umpost???
Dah hii post nimechelewa kuiona NI bht TU huwa Nina kawaida ya kila week kupitia forum your ya photos ndo nakutana na hii shughuli...Hajajiumba.
Kwa hiyo mmeingiliana kwenye mademu zenu auJamaa sijui hata kwanini kafanya hivyo na Sina hata beef naye btw kinachonishangaza aliempost kwa mbali kdg nataka kufanana naye that means mtoa mada ananijua Basha wake ninayemrombaga.