Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 3,907
- 6,700
Aliyewachoma moto walokole 600 ndani ya kanisa nchini Uganda na kusepa na mali zao zote ilikua mwaka 2000. Akidai ndio mwisho wa dunia!
Baada ya kuwachoma moto,akaenda wapi?,yupo wapi huyo jamaa?aliyewachoma moto walokole 600 ndani ya kanisa nchini Uganda na kusepa na mali zao zote ilikua mwaka 2000! Akidai ndio mwisho wa dunia!View attachment 1822686
Yaani aliweka mfukoni akili za watu 778 hakuna hata mmoja aliyejiuliza hivi kweli “hiki anachosema huyu kweli kinawezekana”?Mjinga alifanya ujinga, kuwatapeli wajinga..
Mpaka Sasa Watu Wanatafuta MiracleWatu wanotafuta miujiza bado wapo sana kwenye huu ulimwengu.
Serikali Ya Uganda Imemtafuta Kushirikiana Na InterpolYuko wapi huyu mjanja?
Unsolved issueSerikali Ya Uganda Imemtafuta Kushirikiana Na Interpol
Hawajampata
Mpaka Kesho.........Unsolved issue
Hajadakwa tu?Aliyewachoma moto walokole 600 ndani ya kanisa nchini Uganda na kusepa na mali zao zote ilikua mwaka 2000. Akidai ndio mwisho wa dunia!
View attachment 1822686
Mpaka Kesho BadoHajadakwa tu?
Yeye alikuwa mchomajiHow sure Kama hakuwemo humo humo? Na yeye aliteketea?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Bonge moja la kafara. Tunaweza kudhani ni imani kumbe mwenetu alikua kaziniYeye alikuwa mchomaji