Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 21,853
- 44,930
Mkuu sasa hivi Elimu ni rahisi sana anaweza akawa anasoma jioni tu na akamaliza usikariri hizo mbanga..Aliacha chuo hakumaliza alipopata ubunge.
Kwahiyo elimu ya Mnyika ni Form 6.
Mkuu sasa hivi Elimu ni rahisi sana anaweza akawa anasoma jioni tu na akamaliza usikariri hizo mbanga..Aliacha chuo hakumaliza alipopata ubunge.
Kwahiyo elimu ya Mnyika ni Form 6.
Ni kama niliwahi kusikia kua mnyika ana LLB
Kaajiriwa na nano na Analipwa na nani ?Katuga sio Mwanasheria Mkuu wa Serikali ni Wakili Mkuu! By the way unaelewa tofauti yake?
Case ya mchongo .Katuga na wenzake, tena huyo Ajuaye ndio kilaza kabisa, sijui huko Law school alifaulu vipi ni mweupe kichwani na hana analolijua.
Lol
Case ya mchongo .
Nashindwa kuelewa, nashindwa kabisa kuelewa...Kwamba hamna lolote🙏🙏🙏🙏 sio mimi najaribu kuelewa anachokisema mtoa mada
Mimi naona aibu kuona umeandika Katuga ni mwanasheria mkuu wa serikali ya awamu ya 6Nmefatilia cross examination ya kapuga sjui katuga dhidi ya Mnyika nimetamani kulia,huyu ndo mwanasheria mkuu wa serikali ya AWAMU 6 anae tegemewa? Aise kama Taifa tunasafari ndefu ya kuendea walah nasema hii ni aibu.
ILA Mimi sishangai jaman, Hawa ndo watu walioko serikalini jaman ni janga kwa Taifa.
Katuga nakushauri Leo usigegede mkeo walau matipo choice uliyosoma wewe wakati Lissu anasoma critical thinking isikuumbue.
Kwanza, unaelewa tofauti ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Wakili Mkuu wa Serikali?Kaajiriwa na nano na Analipwa na nani ?
Wao kazi Kuona mapungufu ya wenzao wakati na wao ni vilaza.Mimi naona aibu kuona umeandika Katuga ni mwanasheria mkuu wa serikali ya awamu ya 6
Naomba Nieleweshe tafadhali.Kwanza, unaelewa tofauti ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Wakili Mkuu wa Serikali?
Ni bora mara mia kuwa na elimu ya Form six aliyonayo Mnyika kuliko elimu ya madiploma ya Samia na huyo Ndejembi yasiyokuwa na maana yoyote.Aliacha chuo hakumaliza alipopata ubunge.
Kwahiyo elimu ya Mnyika ni Form 6.
Hizo ni ajira za kujuana za awamu hizi. Hawaangalii uwezo wa mtu bali anatoka wapi na anaamini niniNmefatilia cross examination ya kapuga sjui katuga dhidi ya Mnyika nimetamani kulia,huyu ndo mwanasheria mkuu wa serikali ya AWAMU 6 anae tegemewa? Aise kama Taifa tunasafari ndefu ya kuendea walah nasema hii ni aibu.
ILA Mimi sishangai jaman, Hawa ndo watu walioko serikalini jaman ni janga kwa Taifa.
Katuga nakushauri Leo usigegede mkeo walau matipo choice uliyosoma wewe wakati Lissu anasoma critical thinking isikuumbue.