Huyu ndo mwanasheria anayetegemewa na Serikali?

Huyu ndo mwanasheria anayetegemewa na Serikali?

Sifi Leo

Platinum Member
Joined
Mar 30, 2012
Posts
6,312
Reaction score
11,834
Nmefatilia cross examination ya kapuga sjui katuga dhidi ya Mnyika nimetamani kulia,huyu ndo mwanasheria mkuu wa serikali ya AWAMU 6 anae tegemewa? Aise kama Taifa tunasafari ndefu ya kuendea walah nasema hii ni aibu.

ILA Mimi sishangai jaman, Hawa ndo watu walioko serikalini jaman ni janga kwa Taifa.
Katuga nakushauri Leo usigegede mkeo walau matipo choice uliyosoma wewe wakati Lissu anasoma critical thinking isikuumbue.
 
Nmefatilia cross examination ya kapuga sjui katuga dhidi ya Mnyika nimetamani kulia,huyu ndo mwanasheria mkuu wa serikali ya AWAMU 6 anae tegemewa? Aise kama Taifa tunasafari ndefu ya kuendea walah nasema hii ni aibu.

ILA Mimi sishangai jaman, Hawa ndo watu walioko serikalini jaman ni janga kwa Taifa.
Katuga nakushauri Leo usigegede mkeo walau matipo choice uliyosoma wewe wakati Lissu anasoma critical thinking isikuumbue.
Katuga sio Mwanasheria Mkuu wa Serikali ni Wakili Mkuu! By the way unaelewa tofauti yake?
 
leo sijapata muda wa kupitia kule naomba samare basi
Moja ya samari ya leo ni hii 😀😀

NASSORO KATUGA: Kwa hiyo, kwa yale masaa matatu mliwashikilia?

MNYIKA: Hapana, sina maana hiyo. Kuna ambao hata masaa matatu hawakumaliza.

NASSORO KATUGA: Mwenyekiti wako alisema kwamba tuliwatoa waandishi wa habari kwa sababu hatukutaka Part 2 ifikie kwa umma. Wewe unasema mliwatoa kwa sababu wakaendelee na majukumu yao. Haya majibu yapo sawa au hayapo sawa?

MNYIKA: Yapo sawa. Ni sawa na kusema hii chupa ya maji ipo half full or half empty.
 
Moja ya samari ya leo ni hii 😀😀

NASSORO KATUGA: Kwa hiyo, kwa yale masaa matatu mliwashikilia?

MNYIKA: Hapana, sina maana hiyo. Kuna ambao hata masaa matatu hawakumaliza.

NASSORO KATUGA: Mwenyekiti wako alisema kwamba tuliwatoa waandishi wa habari kwa sababu hatukutaka Part 2 ifikie kwa umma. Wewe unasema mliwatoa kwa sababu wakaendelee na majukumu yao. Haya majibu yapo sawa au hayapo sawa?

MNYIKA: Yapo sawa. Ni sawa na kusema hii chupa ya maji ipo half full or half empty.
Nimecheka mie
 
Kazi ni kipimo cha utu
 

Attachments

  • Screenshot_20260831_194046_Facebook.jpg
    Screenshot_20260831_194046_Facebook.jpg
    99.3 KB · Views: 2
Back
Top Bottom