Idimulwa
Platinum Member
- May 27, 2011
- 6,205
- 5,283
Vyumba vya ubongo ndiyo dili...siyo vya MadarasaMnatuchukulia poa sana sie Form Six
Vyumba vya ubongo ndiyo dili...siyo vya MadarasaMnatuchukulia poa sana sie Form Six
Mwanasheria mkuu bado anamtafuta Mange, ila basi nilitaka nae aitwe kama shahidi adodoswe na TALMimi naona aibu kuona umeandika Katuga ni mwanasheria mkuu wa serikali ya awamu ya 6
AnastahiliMkuu Mnyika ni product ya Maua seminary. Jamaa ni kipanga haswa.
KabisaaSasa mtu kakaa na gwiji wa Sheria kwanini asijue mbinu za Kivita kukwepa maswali ya kichokozi
Katuga hana kitu. Majaji wangalikuwa wanatoka sekta binafsi. Katuga siku ya kwanza angaliomba kesi apangiwe wakili mwengineMnyika ana Akili nyingi Sana tena sanaa.
Kuna kipindi huyu katuga alikuwa anaenda kuuliza wenzake wampe maswali ya kuuliza alafu anamkuta mnyika ametulia tu
Ahahahahaha!!!Mweleqe wewe na Babako wa kambo
KabisaaKatuga hana kitu. Majaji wangalikuwa wanatoka sekta binafsi. Katuga siku ya kwanza angaliomba kesi apangiwe wakili mwengine
Sahihi siku, zote ukikaa sehemu ya ukweli unakuwa huna kazi kubwa sana lakini ukikaa kutetea uongo kazi unayo haswa!Shida ni uongo unapokutana na ukweli!