- Thread starter
- #81
Alitakiwa Mzee Mtei mwenyewe mwenye Chadema yake aliyesema tume ya katiba imejaa waisalamu ndiye angelitolea ufafanuzi siyo Mnyika. Kumbuka "anayemlipa mpiga zumari ndiye anayechagua wimbo" na Mzee Mtei ndiye Nyerere wa Chadema, kwa mtazamo ule wa udini Mtei hawezi kukubali huo umoja wenu mgombea awe muislamu
Mtahangaika sana!