Huyu ndo Mbowe, kaja na plan B na daima hatabiriki!

Huyu ndo Mbowe, kaja na plan B na daima hatabiriki!

"Tume ya mabadiliko ya katiba imejaa waislamu" Edwin Mtei
"Kambi ya upinzani kuungana na CUF si rahisi kwa vile naona kama chama cha kiislamu vile" Mzee Ndesamburo
Je hawa wazee watakubali Prof. Lipumba kugombea urais kwa tiketi ya Ukawa?
 
"Tume ya mabadiliko ya katiba imejaa waislamu" Edwin Mtei
"Kambi ya upinzani kuungana na CUF si rahisi kwa vile naona kama chama cha kiislamu vile" Mzee Ndesamburo
Je hawa wazee watakubali Prof. Lipumba kugombea urais kwa tiketi ya Ukawa?

Mtaongea sana lakini kamanda keshapata dawa yenu, ni kuunganisha nguvu kuelekea ukombozi wa pili na wa kweli.
 
Wenzako wa Lumumba unajua hali zao? uwe na huruma ndg!

Hata mimi hili jambo limenifurahisha sana. na kwa kweli kila mchambuzi wa siasa hata wananchi wa kawaida ukiwauliza kuhusu vyama vya upinzani wanakuambia wanatakiwa waungane. Ina maana hiki ndicho wananchi wananchotaka. lakini muwe makini na CCM maana wako tayari kuhonga watu nmabilioni ili walete chokochoko katika umoja huu. muwe macho na msiendekeze mambo ya kuwagawa.
 
Mmh hivi nimesoma au akili yangu inaniambia hivyo. No sichangii ninalakili timamu
 
Hata mimi hili jambo limenifurahisha sana. na kwa kweli kila mchambuzi wa siasa hata wananchi wa kawaida ukiwauliza kuhusu vyama vya upinzani wanakuambia wanatakiwa waungane. Ina maana hiki ndicho wananchi wananchotaka. lakini muwe makini na CCM maana wako tayari kuhonga watu nmabilioni ili walete chokochoko katika umoja huu. muwe macho na msiendekeze mambo ya kuwagawa.

Usitie shaka adui yetu tunajua yuko kichaka gani.
 
Mtaongea sana lakini kamanda keshapata dawa yenu, ni kuunganisha nguvu kuelekea ukombozi wa pili na wa kweli.
Vibabu vyako Mtei na Ndesamburo vitakubali huo umoja mgombea akiwa muislamu?
 
Vibabu vyako Mtei na Ndesamburo vitakubali huo umoja mgombea akiwa muislamu?

Mkuu huchi huo ulikuwa upeo wao huwezi kulazimisha kuwa ndo agenda ya chama kama utakumbuka Mnyika suala La Mtei alilitolea ufafanuzi.
 
Mbowe is the best INNOVETOR IN Tanzania

Long life Mbowe
Long Life CHADEMA
Long life Tanganyika

Yale yale ....huo UKAWA UTAKUFA TU.kwani wafuasi wake hawatakuwa tayari kuona Kiongozi wa UKAWA anawania nafasi ya URAIS zaid ya mgombea kutokea CHADEMA na hapo ndipo CCM itabeba kama inamsukuma mlevi.sababu wafuasi wa Chadema always ni wabaguzi wanaibembeleza CUf na NCCR kwa manufaa yenu angalieni watanzania siyo wajinga kwa kiasi hiko
 
Tangu lini mbowe akafanya kazi au jambo lenye mafanikio kwa chama au taifa.
Hiki ulichokiandika ni kweli umetumia akili au umejivesha UJINGA ndugu? kama Mbowe hajafanya chochote kwa nini nyie maCCM mnatumia nguvu nyingi kumchafua lakini inashindikana?
 
Hiki ulichokiandika ni kweli umetumia akili au umejivesha UJINGA ndugu? kama Mbowe hajafanya chochote kwa nini nyie maCCM mnatumia nguvu nyingi kumchafua lakini inashindikana?

Unanikumbusha yule jamaa wa over my dead body!
 
Kama UKAWA tulitegemea maneno ya kejeli,matusi na kukatisha tamaa kutoka CCM ili umoja ufe ila naamini wakikaa ma-intellectual pamoja hakishindikani kitu watakua washakubali muungano unao cover interest za vyama vyote.

Ushauri wa bure kwa CCM jiandaeni kukabidhi nchi maana hilo ndo jambo pekee wananchi wanawataka mfanye.
 
Tangu lini mbowe akafanya kazi au jambo lenye mafanikio kwa chama au taifa.

Wewe umezoea haya tuu,
ImageUploadedByJamiiForums1398786815.300670.jpg


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Yale yale ....huo UKAWA UTAKUFA TU.kwani wafuasi wake hawatakuwa tayari kuona Kiongozi wa UKAWA anawania nafasi ya URAIS zaid ya mgombea kutokea CHADEMA na hapo ndipo CCM itabeba kama inamsukuma mlevi.sababu wafuasi wa Chadema always ni wabaguzi wanaibembeleza CUf na NCCR kwa manufaa yenu angalieni watanzania siyo wajinga kwa kiasi hiko

Ni kweli Watanzania sio wajinga kiasi hicho,ila werevu ni hawa hapa kwa akili yako.
View attachment 154656


Sent from my iPad using JamiiForums
 
CCM wametingwa vibaya,na ndiyo maana wanajiropokea hovyo hovyo juu ya kama mav.i ya kuharisha yanavyotoka bila ustaarabu. UKAWA tuendelee kuwapuuza na huku tukikomaa na mikakati ya kuikomboa Tanganyika.
 
Ni kweli Watanzania sio wajinga kiasi hicho,ila werevu ni hawa hapa kwa akili yako.
View attachment 154656


Sent from my iPad using JamiiForums

Najua ukweli utawauma tu twende mbele turudi nyuma lini wafuasi wa chadema wakamsifu lipumba???ni lini wafuasi wa chadema watakubali wafanye kampeni kwa Liiipumba??? Si mlisemaga hawa Cuf ni Ccm b?? Nyie mmekuwa Ccm C??? Siasa za bongo raha sana hasa linapokuja suala la mgombea hapo ndioo mashati na kelele zinapoanzia washabiki woote watasema ni heri wampe lowasa
 
Back
Top Bottom