SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 50,081
- 75,446
Mainterahamwe ni mataahira sana.
Najua ukweli utawauma tu twende mbele turudi nyuma lini wafuasi wa chadema wakamsifu lipumba???ni lini wafuasi wa chadema watakubali wafanye kampeni kwa Liiipumba??? Si mlisemaga hawa Cuf ni Ccm b?? Nyie mmekuwa Ccm C??? Siasa za bongo raha sana hasa linapokuja suala la mgombea hapo ndioo mashati na kelele zinapoanzia washabiki woote watasema ni heri wampe lowasa
Next ukawa na watanzania wote na vyama ungana tutavaa t-shert za tanganyika na kofia zake na kila mkeleketwa wa chama atakuwa na bendera ya chama chake.kama wewe ni cuf utakuwa na t shirt ya tanganyika na kofia na bendera ya cuf na wengine hivyo hivyo kama chadema hivyo hivyo
chama makini cha ACT kinajiandaa kuchukua nchi mwakani
Disco joker
kama kinana.Mbowe ni mjanja sana, anawalaghai waingie kingi af apige mihela, chezea mjasiriamali wa kisiasa weye
chama makini cha ACT kinajiandaa kuchukua nchi mwakani
Katika kikao kimoja tulichofanyia Mwanza mwaka jana mwishoni Mbowe aliwakuna wajumbe alipotupa siri kwamba alikataa kuwa mwenye kiti wa Chadema mpaka kamati kuu walipokubali mashariti yake. Baadhi ya mashariti ilikuwa kumuomba na kamati kuu ikubali Dr Slaa awe Katibu mkuu badala ya makamu mwenyekiti, kuruhusu kufungua milango ili aingize watu toka vyama vingine na kubadilisha rangi za bendera ya chama. Alitwambia jisi alivyopata shida kuwashawishi wazee wa chama kukubali kombati kuwa vazi la chama na kadhalika. Ilikuwa story ya kuvutia sana!
Leo wakati Ccm wakidhani tuna tofauti kubwa sana na vyama vingine hasa Cuf, na walijitahidi sana kupanda chuki kati yetu. Na zaidi walijitahidi kuivuruga Chadema kwa kutumia mamluki, kumbe Kamanda wa anga anafkiria kitu kikubwa zaidi. Ametoka na plan B amabayo inawafanya Ccm warudi kwenye drawing board kupanga upya mbinu tofauti na hii ya mamluki. Kwa vyovyote sasa mbinu ni kuchonganisha huu muungano maana hauwezi kuwaacha salama.
Mchambuzi yoyote wa siasa anajua kwamba tukiingia kwenye uchaguzi kwa muungano huu Ccm watatoka jasho kweli kweli. Muungano huu utasambaratisha kabisa propaganda ya udini na ukabila, utasambaratisha propaganda ya uchu wa madaraka. Lakini italigawa taifa katika kanda ambazo ni rahisi kupiga kampeini kulingana na sehemu vyama vinavyokubalika. Itapunguza mzigo wa gharama maana utashughulikia eneo dogo kwa ufanisi.
Long live Kamanda Mbowe!
ZITTO hafai tena ni muasisi na master mind wa ACT. CHADEMA msilogwe kumrejesha jamaa Huyu. Think tank wa ACT ni Kitila na jamaa mmoja wa CWT mkiti wa chama cha walimuzito ungana na wenzio omba msamaha watanzania tutakusamehe,uongeze nguvu kwenye jeshi la wokovu wa nchi yetu.tulikomboe taifa letu
Kwani hoja iliyosababisha kuungana ni Uongozi au Katiba? Naapa na naamini Hakuna muungano hapa. Chama kinachoongozwa ka matukio hakiwezi kuchukua dola hata siku moja. Yaani bila katiba Mpya SIJUI CHEDMA wangekuwa na hoja gani. Short living CHADEMA
Alitakiwa Mzee Mtei mwenyewe mwenye Chadema yake aliyesema tume ya katiba imejaa waisalamu ndiye angelitolea ufafanuzi siyo Mnyika. Kumbuka "anayemlipa mpiga zumari ndiye anayechagua wimbo" na Mzee Mtei ndiye Nyerere wa Chadema, kwa mtazamo ule wa udini Mtei hawezi kukubali huo umoja wenu mgombea awe muislamuMkuu huchi huo ulikuwa upeo wao huwezi kulazimisha kuwa ndo agenda ya chama kama utakumbuka Mnyika suala La Mtei alilitolea ufafanuzi.