Jamaa mahakamani kajitetea alikuwa anaona kama Odinga anacheza kwa ukaribu na mke wake ha!ha! jamaa anaonekana Wivu mwingi na roho inamuuma nashukuru kaomba samahani lakini Mh viboko ameisha pata.
out of context!!Ha!ha!nimecheka sana hiyo video nimeviesabu naona ni viboko vitatu vya nguvu ujumbe huu huwafikie walioko kwenye Bunge la Katiba waangalie nao wasije chapwa viboko na wananchi.
Alijuaje kuwa atacheza na mkewe hadi akaingia na kiboko? Mie naona kama alishajiandaa. Alijua nini anaenda kufanya.
Jamaa mahakamani kajitetea alikuwa anaona kama Odinga anacheza kwa ukaribu na mke wake ha!ha! jamaa anaonekana Wivu mwingi na roho inamuuma nashukuru kaomba samahani lakini Mh viboko ameisha pata.
Alijuaje kuwa atacheza na mkewe hadi akaingia na kiboko? Mie naona kama alishajiandaa. Alijua nini anaenda kufanya.
Alijuaje kuwa atacheza na mkewe hadi akaingia na kiboko? Mie naona kama alishajiandaa. Alijua nini anaenda kufanya.
Kweli wivu mbaya aisee sasa angemkuta anagegedwa ingekuwa je khaaa!Jamaa mahakamani kajitetea alikuwa anaona kama Odinga anacheza kwa ukaribu na mke wake ha!ha! jamaa anaonekana Wivu mwingi na roho inamuuma nashukuru kaomba samahani lakini Mh viboko ameisha pata.