Miss Neddy
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 14,684
- 8,754
Mke sio sababu hapo
umeona eeeh
Mke sio sababu hapo
umeona eeeh
Huyu kwanza akapimwe akili, akionekana yuko sawa... jela.....
kuna mtu hapo juu kasema nati moja hana huyo so wamsamehe tu
Oohooo kumbe mtambo???
Wabunge wa katiba ndio wanahitaji hilu. Sema watz waoga kwa serikali yao
Walinzi nao inaonekana walikuwa na wenyewe wameingia kucheza ngoma wakasahau majukumu yao.
Mkuu, walinzi? Hata White House ya Obama imavamiwa na jamaa mwenye kisu mpaka East Room akiwapita walinzi kibao wenye silaha, tena ambao wanaruhusiwa kuua bila kuulizwa maswali. Siku yako ikifika imefika tu. Kula njiti nenda zako umeshika adabu. Ulinzi wako anaujua Mungu tu kwa sababu Mungu asipoulinda mji yeye aulindaye afanya kazi bure.
Walinzi nao inaonekana walikuwa na wenyewe wameingia kucheza ngoma wakasahau majukumu yao.