Huyu ndo chizi kweli

Huyu ndo chizi kweli

BUNUNGULI

Senior Member
Joined
Apr 4, 2013
Posts
192
Reaction score
37
James ni mfungwa katika gereza la machizi,siku moja akawaambia marafiki zake,''naanza kufanya mazoezi ya kuruka geti ili baada ya miezi mitano nitoroke kwa kuruka geti'' james akaanza mazoezi ya kuruka,muda ulipofika akawaaga machizi wenzie akawaambia ''leo nakwenda kuruka geti nitoroke'' akaondoka,baada ya muda kidogo james akarudi huku amenyong'onyea,wenzake wakamuuliza,mbona umerudi?james akajibu ''nimeshindwa kuruka geti na kutoroka kwa sababu geti lilikuwa wazi''
 
Hahahahahahahahahahaha sasa huyo ndo chiz haswaaa jaman hahahahaha

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom