Ruhazwe JR
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 3,403
- 920
Wakubwa!...,Huyu ndio waziri wangu wa sheria na katiba.Aliweza kupambana kwenye kesi yake dhid ya kupinga matokeo ya ubunge wake akiwa mwenyewe,huku akipangua kundi la mashaidi wa kununuliali.kazi yake makini na uhakika,anajua nini anafanya,umahili hadi bungeni,kweli kazaliwa kuwa mwanasheria,kiongozi na mtetezi wa wanyonge naye ni Antipas Tundu Lissu