Elections 2010 Huyu ndiye real JK!

Sawa nadhani itakuwa sio mbaya kama mnataka kuleta hayo mambo unayosema. Ila nataka nitoe angalizo kwa wale watakaoleta hayo mambo: Tunaomba watuletee yakiwa na ushahidi la sivyo itaonekana ni maneno ya vijiweni tu ambayo hayana maana wala msingi wowote.


Mpenda siasa asiye na chama
 
kukata mzizi wa fitina tunaomba cheti cha ndoa ya Bi Josephine na mumewe.pia tunaomba mlalamikaji (mume aliye achwa) awe msemaji mkuu kwani shughuli ni yake.watanzania tuweni makini huu si wakati wa kujadiliwa suala hili ni wakati wa kusikiliza sera na hoja za wagombea na kuzichambua vizuri kwani hapo ndo hatima ya maisha ya watanzania walio masikini.
 
Sunday, 5 September 2010
Slaa anachumbia mtalaka na huyu wa Kikwete ni nini?

View attachment 13445

Bila shaka watanzania wengi wanajua kuwa Rais wao aliyemaliza muda wake Jakaya Kikwete kuanzia alivyokuwaMakongo Sekondari, Chuo Kikuu cha Dar es salaam,Sinza Kijiweni hadi nje ya nchi.

Ingawa CCM wanaona kama wamegundua silaha ya nyuklia ya kummaliza Dk Wilibrod Slaa kwa sababu aliachana na mama aliyezaa naye, jambo ambalo hafichi, wajue mtu wao, katika hili la ndoa, hana salama.
Tutaanza kuwaletea nyumba zake ndogo na baadaye tutaleta hata vyangudoa wa mitaani ambao amewahi kuparamia.

Tukimaliza hili, tutakuja na mgogoro wa kuanguka ambao ni ushahidi tosha kuwa afya yake ni ugogoro mtupu ingawa yeye na waramba viatu wake wanaficha.

Tuanze na hawara yake Kikwete anayejiweka weka kwenye udhamini wa mambo fulani fulani huku akimuigiza Salma Kikwete kumpigia kampeni mtu wake.

Hata Salma hatanusurika. Waliofundisha naye wako na wana data zake zote hata na alivyokutana na JK kwenye mazingira ya kutia kila shaka. Hapa bado hatujaenda kwao umakondeni na kuja na data nyingine nyingi tu. Hapa bado hatujagusia vimada waliojazwa kwenye ukuu wa wilaya na sehemu nyingine nyeti serikalini. Hapa bado hatujakuletea aliozaa nao na wanaharamu wake. Hapa bado hatujavinjari kila kona inayojulikana. Na CCM wajue. Tunapata data zake sawa na tulivyopata za EPA-wanaomjua wengi wako tayari kujitolea kuanika uchafu wake.
Hapa hatujagusa biashara zake na mambo mengine machafu kuliko hata hayo.
Inzi ana hekima moja kuu. Anasema. Ukijua huu naujua ule.

Posted by NN Mhango at 13:49
image003.gif@01CB4F6A.36A67F40

Tupe zote. Tunajua kuwa kwa urambaramba wake ameramba hata taka za ohio
 
lakini kuna mtu yeyote aliyejitokeza rasmi kudai kuporwa mke na jk?
kama hakuna wa kujitokeza mahakamani hapo utaonekana mfitini tu.
kuna mtu yeyote anayeweza kuweka pingamizi akitoa sababu ya afya ya jk na kukawa na uwezekano wa kuwepo shauri?

am afraid hakuna vitu kama hivyo; sasa tunalalama nini?
 
lakini kuna mtu yeyote aliyejitokeza rasmi kudai kuporwa mke na jk?
kama hakuna wa kujitokeza mahakamani hapo utaonekana mfitini tu.
kuna mtu yeyote anayeweza kuweka pingamizi akitoa sababu ya afya ya jk na kukawa na uwezekano wa kuwepo shauri?

am afraid hakuna vitu kama hivyo; sasa tunalalama nini?

Hizi nazo ni sera? Je wananchi hawatakiwi kuhoji afya ya kiongozi mkuu anayeanguka kila siku?
 
Sunday, 5 September 2010
Slaa anachumbia mtalaka na huyu wa Kikwete ni nini?

View attachment 13445

Bila shaka watanzania wengi wanajua kuwa Rais wao aliyemaliza muda wake Jakaya Kikwete kuanzia alivyokuwaMakongo Sekondari, Chuo Kikuu cha Dar es salaam,Sinza Kijiweni hadi nje ya nchi.

Ingawa CCM wanaona kama wamegundua silaha ya nyuklia ya kummaliza Dk Wilibrod Slaa kwa sababu aliachana na mama aliyezaa naye, jambo ambalo hafichi, wajue mtu wao, katika hili la ndoa, hana salama.
Tutaanza kuwaletea nyumba zake ndogo na baadaye tutaleta hata vyangudoa wa mitaani ambao amewahi kuparamia.

Tukimaliza hili, tutakuja na mgogoro wa kuanguka ambao ni ushahidi tosha kuwa afya yake ni ugogoro mtupu ingawa yeye na waramba viatu wake wanaficha.

Tuanze na hawara yake Kikwete anayejiweka weka kwenye udhamini wa mambo fulani fulani huku akimuigiza Salma Kikwete kumpigia kampeni mtu wake.

Hata Salma hatanusurika. Waliofundisha naye wako na wana data zake zote hata na alivyokutana na JK kwenye mazingira ya kutia kila shaka. Hapa bado hatujaenda kwao umakondeni na kuja na data nyingine nyingi tu. Hapa bado hatujagusia vimada waliojazwa kwenye ukuu wa wilaya na sehemu nyingine nyeti serikalini. Hapa bado hatujakuletea aliozaa nao na wanaharamu wake. Hapa bado hatujavinjari kila kona inayojulikana. Na CCM wajue. Tunapata data zake sawa na tulivyopata za EPA-wanaomjua wengi wako tayari kujitolea kuanika uchafu wake.
Hapa hatujagusa biashara zake na mambo mengine machafu kuliko hata hayo.
Inzi ana hekima moja kuu. Anasema. Ukijua huu naujua ule.

Posted by NN Mhango at 13:49
image003.gif@01CB4F6A.36A67F40

Akisikia hiki kibao lazima aende msalani :violin:

YouTube - Sea - Papi Kocha, Nguza Viking
 
Mkuu nasikia Dodoma Jk ana watoto watatu,ila watu hawataki kusema tu!
Ngoja wajichanganye kwa kukosa sera na kuanza kutafuta sababu zisizo za msingi kumchafua Rais Wetu mtarajiwa Dk.Slaa,
Wataumbuliwa vibaya wao Wenyewe nahisi hawajafikiria vizuri uozo wao!

 
Hi kikwete sio huyu ambaye alitolewa kwenye blog ya "ze utamu (yaani utamu wa kujing'ata ulimi"mpaka ikafungwa blog yetu ya mambo ya kiutuuzima?................
 
lakini kuna mtu yeyote aliyejitokeza rasmi kudai kuporwa mke na jk?
kama hakuna wa kujitokeza mahakamani hapo utaonekana mfitini tu.
kuna mtu yeyote anayeweza kuweka pingamizi akitoa sababu ya afya ya jk na kukawa na uwezekano wa kuwepo shauri?

am afraid hakuna vitu kama hivyo; sasa tunalalama nini?

Hapa kaka umekandamiza vizuri.Kwa upande wa baba paroko SLAA tayari mtu amejitokeza rasmi kudai kuporwa mke wake.
 
Haya ndio mambo ya mtandao/blogs picha inaweza kuwa hata ya kuzusha ili tu kumpakazia mtu au Rais . Chadema wanalipiza kisasi kwa kutumia picha za kubuni wakati Josephine alionyeshwa hadharani pale Jangwani. Kikwete anasakamwa kwa nini wakati mlalamikaji katika shauri la Dk.Slaa ni Aminiel Mahimbo?

Kikwete Hawezi kukimbia kwenye ufuska wake mbona zipo nyingi au wewe hujui kuwa kunataalifa zilienea kuwa anangoooo... acha hizo wewe!!
 
Sunday, 5 September 2010
Slaa anachumbia mtalaka na huyu wa Kikwete ni nini?

View attachment 13445

Bila shaka watanzania wengi wanajua kuwa Rais wao aliyemaliza muda wake Jakaya Kikwete kuanzia alivyokuwaMakongo Sekondari, Chuo Kikuu cha Dar es salaam,Sinza Kijiweni hadi nje ya nchi.

Ingawa CCM wanaona kama wamegundua silaha ya nyuklia ya kummaliza Dk Wilibrod Slaa kwa sababu aliachana na mama aliyezaa naye, jambo ambalo hafichi, wajue mtu wao, katika hili la ndoa, hana salama.
Tutaanza kuwaletea nyumba zake ndogo na baadaye tutaleta hata vyangudoa wa mitaani ambao amewahi kuparamia.

Tukimaliza hili, tutakuja na mgogoro wa kuanguka ambao ni ushahidi tosha kuwa afya yake ni ugogoro mtupu ingawa yeye na waramba viatu wake wanaficha.

Tuanze na hawara yake Kikwete anayejiweka weka kwenye udhamini wa mambo fulani fulani huku akimuigiza Salma Kikwete kumpigia kampeni mtu wake.

Hata Salma hatanusurika. Waliofundisha naye wako na wana data zake zote hata na alivyokutana na JK kwenye mazingira ya kutia kila shaka. Hapa bado hatujaenda kwao umakondeni na kuja na data nyingine nyingi tu. Hapa bado hatujagusia vimada waliojazwa kwenye ukuu wa wilaya na sehemu nyingine nyeti serikalini. Hapa bado hatujakuletea aliozaa nao na wanaharamu wake. Hapa bado hatujavinjari kila kona inayojulikana. Na CCM wajue. Tunapata data zake sawa na tulivyopata za EPA-wanaomjua wengi wako tayari kujitolea kuanika uchafu wake.
Hapa hatujagusa biashara zake na mambo mengine machafu kuliko hata hayo.
Inzi ana hekima moja kuu. Anasema. Ukijua huu naujua ule.

Posted by NN Mhango at 13:49
image003.gif@01CB4F6A.36A67F40

Kwanza NEXT TIME ukiandika usitomie rangi yetu tukufu ya KIJANI!!.... na huyu mama ameenea katika blog za chadema tu!! haha!
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
 
Hizi nazo ni sera? Je wananchi hawatakiwi kuhoji afya ya kiongozi mkuu anayeanguka kila siku?






sio sera.
wanaruhusiwa lakini daktari wake (jk) alishatoa sababu ya kudondoka kwake na ikawa wazi kwamba si kifafa.
 
Kwanza NEXT TIME ukiandika usitomie rangi yetu tukufu ya KIJANI!!.... na huyu mama ameenea katika blog za chadema tu!! haha!
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
Amka kijana usitazame Rangi! Kwan rangi nini?.Fikiria uhalisia wa Chama na Watu wake ukijumuisha sera na siasa zake!
Ukweli ni kwamba CCM na Ukijani wake imesha Expire! habari ndio hiyo! Nakushauri Uhame CCM as soon as Possible!
KIDUMAE CHAMA CHA MAPINDUZI!!
 
Back
Top Bottom