asam.thegunner
Member
- Oct 7, 2009
- 44
- 0
Sawa nadhani itakuwa sio mbaya kama mnataka kuleta hayo mambo unayosema. Ila nataka nitoe angalizo kwa wale watakaoleta hayo mambo: Tunaomba watuletee yakiwa na ushahidi la sivyo itaonekana ni maneno ya vijiweni tu ambayo hayana maana wala msingi wowote.
Mpenda siasa asiye na chama
Mpenda siasa asiye na chama