Baada ya utafiti wa muda mrefu na wenye kina bila kuathiriwa na maamuzi mbele, aliye sasa mkuu wa mkoa mmoja kusini mwa Tanzania afaa kuiongoza nnchi ya Tanzania 2015. Na huyu si mwingine bali ni Kanali mstaafu J. Simbakalia.
Hii inatokana na uwezo wake, muono na upeo wake, ukweli wake bila kujali macho ya watu, lakini zaidi uzalendo wa nnchi hii.
Uwasilisho wangu: Kuna watu wenye uwelewa zaidi wa mtu huyu waweza changia. Lakini pia najua pia wapo wengine wengi ambao majina yao hayajachakaa kwa kuyasikia kwenye vyombo vya habari kwa namna mbali mbali, nzuri au mbaya ambao pia wa uzalendo wa Taifa hili unaweza ukarusha hapa.
Hii inatokana na uwezo wake, muono na upeo wake, ukweli wake bila kujali macho ya watu, lakini zaidi uzalendo wa nnchi hii.
Uwasilisho wangu: Kuna watu wenye uwelewa zaidi wa mtu huyu waweza changia. Lakini pia najua pia wapo wengine wengi ambao majina yao hayajachakaa kwa kuyasikia kwenye vyombo vya habari kwa namna mbali mbali, nzuri au mbaya ambao pia wa uzalendo wa Taifa hili unaweza ukarusha hapa.