We Know Next
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 815
- 382
Wana jamii,
Nimekuwa nikifuatilia kwa karibu sana na kwa miaka kadhaa sasa Makala za Generali Ulimwengu, na katika upembuzi wangu wa mambo japo kwa upeo nilio nao, nimejiridhisha kuwa, kwa hali halisi ya Tanzania ilipofika sasa, General Ulimwengu ndiye Binadamu anayetufaa Watanzania Kuichukua na kuiongoza nchi mwaka 2015. Natoa hoja!
Wana jamii,
Nimekuwa nikifuatilia kwa karibu sana na kwa miaka kadhaa sasa Makala za Generali Ulimwengu, na katika upembuzi wangu wa mambo japo kwa upeo nilio nao, nimejiridhisha kuwa, kwa hali halisi ya Tanzania ilipofika sasa, General Ulimwengu ndiye Binadamu anayetufaa Watanzania Kuichukua na kuiongoza nchi mwaka 2015. Natoa hoja!
Wana jamii,
Nimekuwa nikifuatilia kwa karibu sana na kwa miaka kadhaa sasa Makala za Generali Ulimwengu, na katika upembuzi wangu wa mambo japo kwa upeo nilio nao, nimejiridhisha kuwa, kwa hali halisi ya Tanzania ilipofika sasa, General Ulimwengu ndiye Binadamu anayetufaa Watanzania Kuichukua na kuiongoza nchi mwaka 2015. Natoa hoja!
sawa. Lakini nchi yetu ilipofikia inahitaji rais mwenye roho ngumu na asiye na huruma kwa wanaoiangamiza nchi yetu. Mama migiro being a woman sidhani kama atakuwa na uthubutu wa kuwashughulikia wahuni wa nchi hii.