Huyu ndiye mpinzani wa IDM (Internet Downloader Manager)

Mkuu msaada kidogo mi kila nikidownload file lolote Kwa idm linakuja in form of HTML sijui tatizo nini
Kuna dam clone ya idm ipo vizuri kama idm utofauti ni kwenye kucapture video tu. Inafanana kila kitu kama idm
download-accelerator-manager-1.png


Pia kuna jdownloader2 ambayo ni maarufu kwa pro na watu wenye uelewa zaidi wa hizi mambo, kuna mambo hii inafanya kwa ufanisi zaidi.

Bila kusahau firefox, unaweza ukaiset browser ya mozilla kwa addons za kudownload na kucapture video ikafanya kazi kwa ufanisi kushinda hata idm,
 
Eagle ya kipuuzi sana niliwahi weka nikaiondoa mara moja nikatafuta namna ya kuwa narekebisha trial ya idm kila ikiisha nairudisha kwenye trial tena siku 30
 
Hio link ni direct link? Unaweza paste hapa link husika?
Ni link ya torent mkuu nilikuwa natumia PC,....yan nikiright click kwenye link pale option ya Ku download kwa idm inakuja na nikiiclick inadownload ila sasa ndo kwenye form hiyo...Yan naishia kudownload video za YouTube tu nje ya hapo zinakuja kwa HTML
 
Ni link ya torent mkuu nilikuwa natumia PC,....yan nikiright click kwenye link pale option ya Ku download kwa idm inakuja na nikiiclick inadownload ila sasa ndo kwenye form hiyo...Yan naishia kudownload video za YouTube tu nje ya hapo zinakuja kwa HTML
1. Idm haidownload torent
2. Kama unamaanisha file la .torrent ambalo baadae unaliload kwenye software ya torrent pengine unadownload matangazo tu, kwanini usitumie magnet link?
 
Kwa ile spidi ya idm niliwaingiza chaka sana wamiliki wa internet cafes miaka ya 2008 hadi 2012, hiki kidude nikiri kwamba sijaona mpinzani
 
Mkuu hauvunji sheria na kanuni za JF kutuma link za warez na pirated material?
Ban inakuvizia.

ungemshauri tu nenda katafute kwenye torrents bila kuweka link.
Hapana mkuu...humu tech link za torrent zimejaa kila kona..mim sio wa kwanza..so relax
 
Kuna FDM Ipo simple tena rahisi kwa Kudownload youtube videos
Pia speed yake iko poa ......
Mimi IDM naitumia kama Kusaidizi tu .
 
Me natumia free download manager kwenye laptop yangu. Kwa kifupi inasuit needs zangu. Nikitaka video za youtube napakua pia ipo intergrated na chrome. Na speed ni kubwa.

Everything is okay halafu siyo ya kulipia kama IDM
 
Me natumia free download manager kwenye laptop yangu. Kwa kifupi inasuit needs zangu. Nikitaka video za youtube napakua pia ipo intergrated na chrome. Na speed ni kubwa.

Everything is okay halafu siyo ya kulipia kama IDM
Hii FDM ina option ya kuchagua 360, 720p & 1080p? Maana huwa nashushaa mzigo wa GB 10 Youtube. Na sijawahi pata mbadala wa IDM maana yenyewe ukiplay video tu ina pop up, unachagua quality unayotaka. Shida IDM kwangu video hazidownload mpaka mwisho na inakubidi urudie mara 2 kudownload tena.
 
Yeah unachagua resolution vizuri kabisa bila shida....
Hii FDM ina option ya kuchagua 360, 720p & 1080p? Maana huwa nashushaa mzigo wa GB 10 Youtube. Na sijawahi pata mbadala wa IDM maana yenyewe ukiplay video tu ina pop up, unachagua quality unayotaka. Shida IDM kwangu video hazidownload mpaka mwisho na inakubidi urudie mara 2 kudownload tena.
 
In short sijapapata shida yoyote kudownload video from youtube.
Hii FDM ina option ya kuchagua 360, 720p & 1080p? Maana huwa nashushaa mzigo wa GB 10 Youtube. Na sijawahi pata mbadala wa IDM maana yenyewe ukiplay video tu ina pop up, unachagua quality unayotaka. Shida IDM kwangu video hazidownload mpaka mwisho na inakubidi urudie mara 2 kudownload tena.
 
Back
Top Bottom