Ufisadi wote huu huu unaofanyika tuwalaumu waasisi wa taifa hili mana mtoto umleavyo ndivyo akuavyo.kuna watu wamepewa heshima kubwa na kuitwa watakatifu lakini wao ndio waasisi wa uchafu wote hapa tanzania.kuna mwinjilisti wa tazama tanzania aliandika makala yake nikamwona mpumbavu sana!eti wakoloni wasingemwachia mtu ambaye hawamfahamu,kwa hiyo waasisi wa taifa hili wote wakoloni ndio mana wanaiaba,ufisadi na uroho wa madaraka na wote wamesoma shule za kanisa kwa hiyo kwa ujumla waasisi wa uchafu wote ni shule za kanisa.asiyejua historia atabisha.sawa na wale wanaoamini eti 3=1 halafu wanajiita wasomi