PROF. SHABAN MLACHA wa idara ya kiswahili anaendelea kulalamikiwa kuwa ndiye chanzo kikuu cha migogoro katika chuo kikuu cha Dodoma. Prof huyo ambaye pia ndio naibu makamu mkuu wa chuo anayesimamia mipango, pesa na utawala anatajwa kua mtu mwenye kiburi, dharau na majivuno kiasi cha kusababisha walimu wengi chuoni hapo kukimbia na kuhamia katika vyuo vya UDSM, SUA, SUZA, DUCE, MUCE, SAUT, N.K. Idadi ya walimu waliokwisha hama chuoni haponi kubwa na imekua ikiongezeka kila kukicha. Amekua akibana pesa kupita kiasi na kusababisha assessment ya wanafunzi wanaofanya mafunzo kwa vitendo kutofanyika kwa ufanisi. Hata migomo ya wanafunzi inadaiwa kwa kiasi kikubwa kusababishwa na prof MLACHA ambaye inasemekana ana madaraka makubwa kuliko hata Vice Chancellor wa chuo hicho. Wapo wanaodai kua PROF MLACHA ni swahiba wa karibu sana na Mkuu wa KAYA na kwamba wameoa nyumba moja. Wadau wa UDOM Mnasemaje juu ya hili tunaomba maoni yenu.