Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,110
- 18,327
Namba 10 wa serengeti boys sio wa sport sport kama wengi wanavyo mchukulia poa kwa sababu ya udogo wake.
Ni finisher hatari sana, kana akili ya mpira . Kama kocha atampa muda mwingi anaweza fanya maajabu huko egypt mwezi huu.
Huwa nawaza kanaweza fikia level za kina eto
Ni finisher hatari sana, kana akili ya mpira . Kama kocha atampa muda mwingi anaweza fanya maajabu huko egypt mwezi huu.
Huwa nawaza kanaweza fikia level za kina eto