Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 48,323
- 115,323
Kwa dkk za mwisho sawa ila kama ni kwamba kaanze sidhani kama kanaeza fanya kitu.Usiangalie umri.. juzi kamecheza mechi ya hisani Samakiba na kaka funga goli moja ziri sana.
Walau kacheze hata dk 15..
Eto alicheza world cup akiwa na 17.
Nilimuona hiyo juzi pia ni mzuri lakini nionavyo yapendeza katokee benchi.