MVAA GWANDA
Member
- Nov 12, 2010
- 35
- 6
Jamanihapo hajamalizia.... ''huyu ndio raisi wetu akiwa ikulu akila raha wakati watanzania tunasota juani''
raisi amekula bonge la pozi hana mawazo, jifikirie wewe hapo ulipo una mawazo gani kichwani! Una uhakika na kesho itakuwaje? Ikitokea umeachishwa hako kajob kako una sehemu ya kutegemea nyingine? Familia yako ina uhakika wa maisha yajayo bila wewe? Mawazo na hofu ya umaskini yametawala halafu unashangilia raisi akiwa ikulu,ungeweza kumuuliza anawaza nini hapo utashtuka sana ..anajiuliza safari zinaanza lini kwenda marekani n.k!
raisi amekula bonge la pozi hana mawazo, jifikirie wewe hapo ulipo una mawazo gani kichwani! Una uhakika na kesho itakuwaje? Ikitokea umeachishwa hako kajob kako una sehemu ya kutegemea nyingine? Familia yako ina uhakika wa maisha yajayo bila wewe? Mawazo na hofu ya umaskini yametawala halafu unashangilia raisi akiwa ikulu,ungeweza kumuuliza anawaza nini hapo utashtuka sana ..anajiuliza safari zinaanza lini kwenda marekani n.k!