Elections 2010 Huyu ndio Raisi wetu akiwa Ikulu

Lucchese DeCavalcante

JF-Expert Member
Jan 10, 2009
5,469
728
Doug%252BPitt%252BNamed%252BGoodwill%252BAmbassador%252BTanzania%252BSw4srOZgh2El.jpg
 

Technology

JF-Expert Member
Oct 19, 2010
769
284
Hivi ni lazima uandike hata kama unachoandka na kutufanya tuachi majukumu mengine hakina msingi....
 

Victory 1

Member
Nov 3, 2010
21
0
In contrast hii ni hospitali ya Msoga....

8E9U8216.jpg
Hivi jamani ukiwa Rais ukajikuta mahali kama hapa alipo huyu baba, ukajionea hali hii mwenyewe, unaondoka ukiwa na mawazo gani ukizingatia kiasi kikubwa cha fedha za umma zinaibiwa na wachache? Hivi inawezekanaje hawa viongozi wetu wakawa na raha na kicheko katika hali kama hii?? Hivi ni kweli haiwezekani kabisa kuikomboa Tanzania hata tu kwa kuwa na majengo mazuri ya hospitali na vitanda hata kabla hatujamfikia mtu mmoja mmoja?? Mungu aturehemu na kuwatoa hawa viongozi mioyo ya mawe waliyo nayo na kuwapa miyo ya nyama wawe wanaona huruma
 

Safari_ni_Safari

JF-Expert Member
Oct 5, 2007
23,276
17,055
Hivi jamani ukiwa Rais ukajikuta mahali kama hapa alipo huyu baba, ukajionea hali hii mwenyewe, unaondoka ukiwa na mawazo gani ukizingatia kiasi kikubwa cha fedha za umma zinaibiwa na wachache? Hivi inawezekanaje hawa viongozi wetu wakawa na raha na kicheko katika hali kama hii?? Hivi ni kweli haiwezekani kabisa kuikomboa Tanzania hata tu kwa kuwa na majengo mazuri ya hospitali na vitanda hata kabla hatujamfikia mtu mmoja mmoja?? Mungu aturehemu na kuwatoa hawa viongozi mioyo ya mawe waliyo nayo na kuwapa miyo ya nyama wawe wanaona huruma

Pole kwa machungu ndugu yangu...utaumia zaidi kusikia hao wote wamempa kura JK....hapo ni kijiji alichozaliwa...nakupa na hii...hataki kuchafuliwa na tope

8E9U8225kikwete+fariji+chini.jpg
 

Valid_Options

Member
Nov 13, 2010
43
0
Hivi jamani ukiwa Rais ukajikuta mahali kama hapa alipo huyu baba, ukajionea hali hii mwenyewe, unaondoka ukiwa na mawazo gani ukizingatia kiasi kikubwa cha fedha za umma zinaibiwa na wachache? Hivi inawezekanaje hawa viongozi wetu wakawa na raha na kicheko katika hali kama hii?? Hivi ni kweli haiwezekani kabisa kuikomboa Tanzania hata tu kwa kuwa na majengo mazuri ya hospitali na vitanda hata kabla hatujamfikia mtu mmoja mmoja?? Mungu aturehemu na kuwatoa hawa viongozi mioyo ya mawe waliyo nayo na kuwapa miyo ya nyama wawe wanaona huruma
Halafu jamaa anatabasamu wakati kina mama wana hali mbaya sana
 

The Khoisan

JF-Expert Member
Jun 5, 2007
14,600
11,710
Pole kwa machungu ndugu yangu...utaumia zaidi kusikia hao wote wamempa kura JK....hapo ni kijiji alichozaliwa...nakupa na hii...hataki kuchafuliwa na tope

8E9U8225kikwete+fariji+chini.jpg

Hii ni kiboko kwelikweli!!! Wakati wa kampeni anakubali kukaa mpaka chini. Ila kabla na baada vumbi hataki kulisikia!!
 

Kigogo

JF-Expert Member
Dec 14, 2007
20,518
6,110
Hivi jamani ukiwa Rais ukajikuta mahali kama hapa alipo huyu baba, ukajionea hali hii mwenyewe, unaondoka ukiwa na mawazo gani ukizingatia kiasi kikubwa cha fedha za umma zinaibiwa na wachache? Hivi inawezekanaje hawa viongozi wetu wakawa na raha na kicheko katika hali kama hii?? Hivi ni kweli haiwezekani kabisa kuikomboa Tanzania hata tu kwa kuwa na majengo mazuri ya hospitali na vitanda hata kabla hatujamfikia mtu mmoja mmoja?? Mungu aturehemu na kuwatoa hawa viongozi mioyo ya mawe waliyo nayo na kuwapa miyo ya nyama wawe wanaona huruma


Kwa hali hii naelewa kwa nini ndugu yangu KIGOGO kapigwa BAN ya milele maana mamabo haya yanatia hasira sana....kweli kweliiiiii hii nchi unaongoza watu wako hospital hapo?no way
 
0 Reactions
Reply
Top Bottom