Huyu ndio nani hapo bongo jamani?

Huyu ndio nani hapo bongo jamani?

sijafurahia hilo neno katika red, kwani ni unyanyapaa huo
sasa kama hujafurahia mm nifanyeje?
au na wewe tayari nini?
hakuna kubwabwaja hapa ni upuuzi mtupu kwani ukimwi umekuwa marelia ambayo MBU anakuvizia bila taaarifa?
ukiwa mwathirika kamwe huta thaminiwa kwasababu ulishindwa kujithamini.
 
sasa kama hujafurahia mm nifanyeje?
au na wewe tayari nini?
hakuna kubwabwaja hapa ni upuuzi mtupu kwani ukimwi umekuwa marelia ambayo MBU anakuvizia bila taaarifa?
ukiwa mwathirika kamwe huta thaminiwa kwasababu ulishindwa kujithamini.

Wewe kweli "lege" na nuts zako za njia ya haja kubwa zitakuwa zimelegea kweli.
 
Wewe kweli "lege" na nuts zako za njia ya haja kubwa zitakuwa zimelegea kweli.

naona sasa umelizika eeeeee??
hujambo ww kumbuka kulala mapema kesho unaanza mitihani sawa eee
 
Heh,Madam Mchomvu! Ndio maana Majani alimpa nakozz wakati wa msiba wa Ngwea!
 
sasa kama hujafurahia mm nifanyeje?
au na wewe tayari nini?
hakuna kubwabwaja hapa ni upuuzi mtupu kwani ukimwi umekuwa marelia ambayo MBU anakuvizia bila taaarifa?
ukiwa mwathirika kamwe huta thaminiwa kwasababu ulishindwa kujithamini.
unaelewa nini kuhusu ukimwi? Unadhani kila aliyepata maambukizi hakujithamini?
 
unaelewa nini kuhusu ukimwi? Unadhani kila aliyepata maambukizi hakujithamini?

mkuu nauelewa sana ila kiukweli kwa kizazi cha sasa hasa tupendavyo kuvuana chupi hakika 99% ya waathirika wa ukimwi wamepata kwa njia ya ngono na hiyo 1% iliyobakia ndio wamepata kwa hizo njia nyingine ambao nao bila shaka chanzo chake au wameupata kutoka kwa watu wa 99%.
hakuna cha kuoneana huruma hapa na kupeana kauli za kutiana moyo tumekuwa wachafu sana na waumini wa ngono kupindukia tunajifanya tunapenda sana kushindana na tuliko toka.

hata mm nikiupata au kama ninao haina budi kuzomewa ,siku zote shujaa ni yule aliyeshinda vita/aliye pigana vita na kushinda na sio kufia vitani.
ukifia vitani kamwe wewe ni wakuchekwa sababu kuna kitu utakuwa ulikosea au ulizidiwa na mpinzani wako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom