HUYU NDIO MAGUFULI:
"Uwajibikaji ndio suluhisho la wazembe, nitajenga utamaduni mpya wa uwajibikaji, kutakuwa hakuna kusameheana, kubebana wala kujuana. Nitaimarisha mfumo mzima wa utumishi wa umma ili kuiwezesha serikali kuwatumikia wananchi lakini pia kurahisisha utoaji adhabu kwa watakaozembea badala ya kulindana na kuunda tume na kamati zisizo na tija"
"Uwajibikaji ndio suluhisho la wazembe, nitajenga utamaduni mpya wa uwajibikaji, kutakuwa hakuna kusameheana, kubebana wala kujuana. Nitaimarisha mfumo mzima wa utumishi wa umma ili kuiwezesha serikali kuwatumikia wananchi lakini pia kurahisisha utoaji adhabu kwa watakaozembea badala ya kulindana na kuunda tume na kamati zisizo na tija"